Sauti......................... ........

DA mzima wewe?

Huu uzi wako naomba nichangie kwa sauti ya chini coz anayeniwekeaga mshahara banki sauti yake ni km kabint kalikovunja ungo jana sasa nahofia akinisikia anaweza nicheleweshea changu mawisho wa mwezi!

Yani huwa ana aibu,huko kwenye meeting ndio usiseme hua hana comment au ana agree kila kitu!!

Binafsi napenda sauti nzito na tamu km ya papa rejao mme wangu lol!
 

Ha ha ha ha hiyo bold hiyo nimecheka sana aisee

Nimekusoma
 
Nyie watu mbona mnachakachua siredi..........

Wapi SL??

Erick na Bagah nyie watu nyie nitawachapa viboko
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…