Sauti......................... ........

Kama yule alyekuwa ana apologize kwa demu wake pale Mbalamwezi juzi. Mi nldhan mdada ndo anaomba msamaha. Kuja kupga jcho ndo nkaona ni mwanaume lol

nani huyo mtei?
 
Halafu wa Kike wakiwa na sauti za kiume wanakuwa na confidence,hawaogopi na wakorofi. Ingawa wanakera sana ukiwa nae.
Anapoteza sifa ya kike.
 
Sauti zito silaha kwa mwanaume!!!hata katika tasnia ya filamu bongo apart from good looking ila wanaume wenye sauti nzito hufanya vizuri sokoni kwakuwa zinasikika pouwa tofauti na wauza sura waliovamia fani na visauti vyao vyembamba!!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…