Sauti za marehemu zaanza kusikilizwa

Sauti za marehemu zaanza kusikilizwa

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
10,509
Reaction score
16,734
Kwa mara ya mwanzo kabisa na baada ya jitihada za miaka mingi wanasayansi wamefanikiwa kuipata sauti ya kizuu kiitwacho Nesyamun cha kiongozi wa kidini aliyeishi nchini Misri miaka inayokisiwa 3000 kabla ya kuzaliwa Yesu rehema na amani ziwe juu yake.

Kulingana na maandishi yaliyopatikana kwenye kaburi lake kuja kusikilizwa tena kwa sauti yake hapo mbeleni baada ya kifo chake ilikuwa moja ya ndoto za kiongozi huyo.

Mafanikio hayo kama yalivyoripotiwa na vyombo kadhaa vya habari yamepatikana kutokana na juhudi na ushirikiano wa wanasayansi kutoka vyuo vikuu kadhaa kama vilet Royal Holloway, University of London, na chuo kikuu cha York na Leeds Museum Habari hizi zimechapishwa kwa mara ya mwanzo katika jarida la kisayansi lilitoka Alhamis iliyopita.
1579810013084.png

Nisomapo habari hizi nafikiria hali itakavyokuwa hapo miaka michache ijayo tutakapoanza kuzisikia sauti za mitume kama vile Yesu a.s na atakapozikanusha baadhi ya imani zetu juu yake.

 
Kwa mara ya mwanzo kabisa na baada ya jitihada za miaka mingi wanasayansi wamefanikiwa kuipata sauti ya kizuu kiitwacho Nesyamun cha kiongozi wa kidini aliyeishi nchini Misri miaka inayokisiwa 3000 kabla ya kuzaliwa Yesu rehema na amani ziwe juu yake.

Kulingana na maandishi yaliyopatikana kwenye kaburi lake kuja kusikilizwa tena kwa sauti yake hapo mbeleni baada ya kifo chake ilikuwa moja ya ndoto za kiongozi huyo.

Mafanikio hayo kama yalivyoripotiwa na vyombo kadhaa vya habari yamepatikana kutokana na juhudi na ushirikiano wa wanasayansi kutoka vyuo vikuu kadhaa kama vilet Royal Holloway, University of London, na chuo kikuu cha York na Leeds Museum Habari hizi zimechapishwa kwa mara ya mwanzo katika jarida la kisayansi lilitoka Alhamis iliyopita.
View attachment 1332484
Nisomapo habari hizi nafikiria hali itakavyokuwa hapo miaka michache ijayo tutakapoanza kuzisikia sauti za mitume kama vile Yesu a.s na atakapozikanusha baadhi ya imani zetu juu yake.

Mkuu Quran haina chochote cha kusema juu huu utaalam wa kuibua sauti za watu wa kale?
 
Yesu rehema na amani ziwe juu yake

[emoji115]Una maanisha nini
Tunapotaja majina ya mitume maarufu walioteuliwa kwetu binadamu huwa tunatanguliza maneno ya heshima kwao.Na ndio nilivyofanya kwa Yesu ambaye ni Issa bin Maryam.
 
Kwa mara ya mwanzo kabisa na baada ya jitihada za miaka mingi wanasayansi wamefanikiwa kuipata sauti ya kizuu kiitwacho Nesyamun cha kiongozi wa kidini aliyeishi nchini Misri miaka inayokisiwa 3000 kabla ya kuzaliwa Yesu rehema na amani ziwe juu yake.

Kulingana na maandishi yaliyopatikana kwenye kaburi lake kuja kusikilizwa tena kwa sauti yake hapo mbeleni baada ya kifo chake ilikuwa moja ya ndoto za kiongozi huyo.

Mafanikio hayo kama yalivyoripotiwa na vyombo kadhaa vya habari yamepatikana kutokana na juhudi na ushirikiano wa wanasayansi kutoka vyuo vikuu kadhaa kama vilet Royal Holloway, University of London, na chuo kikuu cha York na Leeds Museum Habari hizi zimechapishwa kwa mara ya mwanzo katika jarida la kisayansi lilitoka Alhamis iliyopita.
View attachment 1332484
Nisomapo habari hizi nafikiria hali itakavyokuwa hapo miaka michache ijayo tutakapoanza kuzisikia sauti za mitume kama vile Yesu a.s na atakapozikanusha baadhi ya imani zetu juu yake.

Sasa si mpaka upate mwili was Yesu au mifupa yake?
 
Sasa si mpaka upate mwili was Yesu au mifupa yake?
Ndio hivyo hivyo.Na zaidi nyuzi za kutoa sauti kwenye koromeo ziwe hazikuharibika pamoja na kupitiwa na karne nyingi tangu kuondoka kwake duniani.Hili kwa Mwenyezi Mungu anapotaka kuthibitisha uwezo wake na huruma zake kwa viumbe wake ili kutoa nafasi ya kila mmoja kuelekea peponi zaidi kuliko motoni,hilo ni rahisi sana kwake na yaelekea ndio mpango wake huko mbeleni.Hii sauti ya kizuu cha Misri ni hatua tu kuelekea huko.
 
Mkuu Quran haina chochote cha kusema juu huu utaalam wa kuibua sauti za watu wa kale?
Mimi si mtaalamu sana wa tafsiri ya Qur'an lakini nina uhakika ipo kitu kama hicho kwa matamshi yake ya ajabu. Si umeona habari za alama za vidole.Hivi leo sote tumejuwa kuwa kila mmoja ana alama zake na hutambuliki kisawasawa wala humilikishwi vitu muhimu bila kuchukuliwa alama zako za vidole.
 
Mimi si mtaalamu sana wa tafsiri ya Qur'an lakini nina uhakika ipo kitu kama hicho kwa matamshi yake ya ajabu. Si umeona habari za alama za vidole.Hivi leo sote tumejuwa kuwa kila mmoja ana alama zake na hutambuliki kisawasawa wala humilikishwi vitu muhimu bila kuchukuliwa alama zako za vidole.
Umewahi kusoma Biblia ya zamani wanayotumia Mapadri kule kwenye vyuo vya Biblia au maofisini kwao!???
Qoran ni sehemu tu ya yale yaliyomo mule.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom