Sauti za marehemu zaanza kusikilizwa

Sauti za marehemu zaanza kusikilizwa

wewe ngoja arudi. Utamuona na kumsikia.
Pia utamkataa.
Kwa mara ya mwanzo kabisa na baada ya jitihada za miaka mingi wanasayansi wamefanikiwa kuipata sauti ya kizuu kiitwacho Nesyamun cha kiongozi wa kidini aliyeishi nchini Misri miaka inayokisiwa 3000 kabla ya kuzaliwa Yesu rehema na amani ziwe juu yake.

Kulingana na maandishi yaliyopatikana kwenye kaburi lake kuja kusikilizwa tena kwa sauti yake hapo mbeleni baada ya kifo chake ilikuwa moja ya ndoto za kiongozi huyo.

Mafanikio hayo kama yalivyoripotiwa na vyombo kadhaa vya habari yamepatikana kutokana na juhudi na ushirikiano wa wanasayansi kutoka vyuo vikuu kadhaa kama vilet Royal Holloway, University of London, na chuo kikuu cha York na Leeds Museum Habari hizi zimechapishwa kwa mara ya mwanzo katika jarida la kisayansi lilitoka Alhamis iliyopita.
View attachment 1332484
Nisomapo habari hizi nafikiria hali itakavyokuwa hapo miaka michache ijayo tutakapoanza kuzisikia sauti za mitume kama vile Yesu a.s na atakapozikanusha baadhi ya imani zetu juu yake.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona taarifa halisi haiendani na taarifa unayoitoa wewe??
- Unajua sauti ni nini?
- Kama unajua sauti ni nini utasikiliza vipi maneno ya sauti ya mtu aliyekufa?

Taarifa inasema wanasayansi kwa kutumia mabaki ya vocal cord ya mummy wame print 3D vocal cord ambayo itatoa sauti sawa na sauti ya huyo mummy. Hayo mengine umeyatoa wap??View attachment 1334219

Sent using Jamii Forums mobile app
Tunachofanya ni kutumia akili zetu na kuthibitisha kwamba sisi si walemavu wa kufikiri.Hivyo hatua ndogo waliyofikia sisi tunaenda mbali kufikiria mafanikio kamili na hii ni moja ya njia za kivumbuzi.Iwapo hao wanasayansi wanasoma hii michango yetu basi inaweza ikawatia moyo au wakaitumia kutafuta matokeo yaliyobora.Hapo na sisi itakuwa tumechangia kwenye jambo la maana kwa manufaa ya binadamu na kizazi kijacho.
Umeelewa Mazo....
 
Kwanini ziwe biblia za mapadri au maofisi kwao?
Kila kitu kina sababu zake.
Dunia sio kama unavyoiona na kuielewa .
Kuna siri nyuma ya kila unachokiona.
Ndio maana hata mzazi hawezi kujua anachowaza mtoto wake kichwani mpaka aseme.

Vitabu vya mwanzo vingeendelea kutumika leo hii dunia nzima ingekua inaongozwa na ukristo ule aliouacha Jesus . Wakristo wa Mwanzo na wayahudi walikua na Misimamo mikali kuliko wajahidina wa Leo.
Serikali ya Kirumi hawakua tayari kuona aina hiyo ya imani ya kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Its impossible kusikia saut yake
Ila its possible kujua peech yake


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Tunachofanya ni kutumia akili zetu na kuthibitisha kwamba sisi si walemavu wa kufikiri.Hivyo hatua ndogo waliyofikia sisi tunaenda mbali kufikiria mafanikio kamili na hii ni moja ya njia za kivumbuzi.Iwapo hao wanasayansi wanasoma hii michango yetu basi inaweza ikawatia moyo au wakaitumia kutafuta matokeo yaliyobora.Hapo na sisi itakuwa tumechangia kwenye jambo la maana kwa manufaa ya binadamu na kizazi kijacho.
Umeelewa Mazo....
Sasa nimekuelewa, sasa kama ndio ulimaanisha hivyo mbona hiyo technology tunayo toka miaka ya 1800's ... Niko hapa nasikiliza wimbo wa Lemi Ongala "Kifo" [emoji1][emoji1]na na Lemi alishaukata kitambo sana.

Sound and video recording ni technology ambazo zipo miaka nendarudi.. inabidi uendelee kufikiria zaidi mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom