mapanga3
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 665
- 633
Sauti ya milio ya mabomu ya machozi ndiyo zinazosikika leo eneo lote la kigogo. Mabomu hayo yanafyatuli na polisi wa kuzuia ghasia yaana ffu yanalenga kuwatawanya watoto wa shule ya msingi kigogo( mkwawa ) ambao walifunga barabara ya kigogo /ubungo kufuatia ajari iliyotokea leo asubuhi ambayo ilimuhusisha mmoja wa wanafunzi wa shule hiyo aliyogongwa na gari na kuvunjika miguu. watoto hao baada ya mwenzao kugongwa waliamua kuzuia magari lkupita wakidai barabara iwekwe matuta. Hakuna gari liloruhusiwa kupita na lililopita lilipigwa kwa mawe na baadhi yao kuvunjwa vioo hivyo ikalazimu ffu kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya watoto hao. Source ni mm mwenyewe na naripoti kutoka kwenye eneo latukio