Sauti yaleta balaa..

Mmmm Sauti ya Stara Thomas v/s Barnaba ...Kweli Stara anasauti ya presentation na yaki business,ndiomana wakakupigia makofi,ila kwa kichumbanichumbani anafunikwa na yule sijui Barnaba(japo ni man)
 
Mkuu, sio sauti tu hata huu mwandiko wako tu unatosha kuleta mfadhaiko. I bet pm yako iko very busy although hawajawahi kusikia sauti yako.
 
lov u kasie...thou makala zako nyingi ni za kufikirika! unajitahidi kuweka mawazo yako kwenye mtiririko unaofaa !!! najarbu kukadiria umri wako nachemka ila utakukua unachezea hapa 30- 39 right ?
 
Wimbo wa Stara,ila ntaipata sauti ya Kasie.

Ni sauti tu au na vitu vyako vingine vipo kwa watu?

Hhahahahahahaaaaa Analyse acha uchokozi banaa... najua wataka sikia sauti yangu na kuona na vinavyoambatana na sauti ya Kasie.... siwezi iweka hapa ila kweli tena sitanii, ukimsikia Bi Kasie anaongea waweza sema ni Bi Stara....

Kasie yuko full equipped kila kitu anacho ....
 
Mmmm Sauti ya Stara Thomas v/s Barnaba ...Kweli Stara anasauti ya presentation na yaki business,ndiomana wakakupigia makofi,ila kwa kichumbanichumbani anafunikwa na yule sijui Barnaba(japo ni man)

Looohh...... tobaaaa!!!! πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Mkuu, sio sauti tu hata huu mwandiko wako tu unatosha kuleta mfadhaiko. I bet pm yako iko very busy although hawajawahi kusikia sauti yako.

Hhahahahahahaaaa jamaniii kweli mwandiko wa Kasie unaleta mfadhaiko...!!? hehehehee usinifurahishe bana looh.

PM yangu waalaah haiko busy,na uzee huu nani anataka kuchat na kibibi ajuza? mie natabasamu tuu...πŸ™‚πŸ™‚
 
lov u kasie...
Love you too...
thou makala zako nyingi ni za kufikirika! unajitahidi kuweka mawazo yako kwenye mtiririko unaofaa !!!
Unawaza visivyo, simulizi za Kasie zote ni za uhalisia wa matukioa anayokutana nayo, yaweza usiamini, sina la kufanya ili uamini ila ukweli utabaki kuwa huo ni uhalisia wa Kasie.

najarbu kukadiria umri wako nachemka ila utakukua unachezea hapa 30- 39 right ?
Hhahahahahahhaaaa, why so interested with numbers? Anyways, Kasie's age has never been a secret.. am between 45 - 50. πŸ˜‰
 
Hhahahahahahaaaa jamaniii kweli mwandiko wa Kasie unaleta mfadhaiko...!!? hehehehee usinifurahishe bana looh.

PM yangu waalaah haiko busy,na uzee huu nani anataka kuchat na kibibi ajuza? mie natabasamu tuu...πŸ™‚πŸ™‚
Vijana wenye ujasiri na wenye kuthubutu huku wakienda sambamba na kauli mbiu ya HAPA KAZI TU wapo wengi sana. Wakiongozwa na ile imani ya ng'ombe mzee hazeeki maini. Ni wewe tu bibie Kasie kuwakaribisha pm wapate kujifunza mambo ya wahenga.
 
Vijana wenye ujasiri na wenye kuthubutu huku wakienda sambamba na kauli mbiu ya HAPA KAZI TU wapo wengi sana. Wakiongozwa na ile imani ya ng'ombe mzee hazeeki maini. Ni wewe tu bibie Kasie kuwakaribisha pm wapate kujifunza mambo ya wahenga.

Hhahahahaaa Kasie sio mkufunzi banaa...πŸ˜›
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…