kwa kuwa Ikulu imeamia Frainds coner pale magomeni kagera naamini hayo uyasemayoHabari wakuu,
Gazeti la SAUTI la leo tarehe 01/01/2014, limeripoti kuwa waziri wa mambo ya nje mh.Bernad Membe ndie atakuwa waziri mkuu.Pia gazeti hili limeripoti kuwa Dr Asha Rose Migiro ndie atateuliwa kuwa waziri wa mambo ya nje.
Vile vile gazeti hilo linasema mh Pinda kaamua kuachi ngazi kufuatia kelele za kumtaka ajiuzulu.
CHANZO:SAUTI
MY TAKE:
Lisemwalo lipo kama halipo laja.
Naona usingizi umekuchukua kwa muda mrefu; haya kumekucha amka upige mswaki. Achana na ndoto za mchana. Membe PM!!!.
Day dreamer .
Haina shida. Salim A. Salim aliwahi kuwa PM.kwn inakuwaje akimchagua wazir mkuu kutoka Zanzibar?
Hata hao kina membe.mwakyembe.magufuli walikuwa hawajulikani. Kuna mtu aliwajaribu. Let get new faces. Tanzania ina watu wazuri wa kutosha.
Maana hao waliobaki ndio hawa tunawaona bungeni na michango yao sio migeni kwetu ati!!!!!!
Kwa kweli kama inawezekana mkulu apunguze safari za nje akae na makatibu wapige kazi kwa kipindi kilichobaki hii ingia toka sasa haina tija tena!!!!!!
Mawaziri wasiwe wabunge jamani utendaji utaongezeka sababu watajua wakivurunda bunge litawashukia
,hii ya sasa uma huku unapuliza inakwamisha saaaaanaaaaa!!!!!
Habari wakuu,
Gazeti la SAUTI la leo tarehe 01/01/2014, limeripoti kuwa waziri wa mambo ya nje mh.Bernad Membe ndie atakuwa waziri mkuu.Pia gazeti hili limeripoti kuwa Dr Asha Rose Migiro ndie atateuliwa kuwa waziri wa mambo ya nje.
Vile vile gazeti hilo linasema mh Pinda kaamua kuachi ngazi kufuatia kelele za kumtaka ajiuzulu.
CHANZO:SAUTI
MY TAKE:
Lisemwalo lipo kama halipo laja.
Membe kuwa PM? Asahau kuwa mgombea urais. Zaidi ya Baba wa Taifa,Mwl JK,hakuna PM mwingine aliyefanikiwa kuwa mgombea urais,acha kupata hicho kiti cha urais,ingawa karibu wote walijitosa(isipokuwa Moringe name Warioba).