the kapota
Member
- Nov 18, 2013
- 18
- 1
Membe kuwa PM? Asahau kuwa mgombea urais. Zaidi ya Baba wa Taifa,Mwl JK,hakuna PM mwingine aliyefanikiwa kuwa mgombea urais,acha kupata hicho kiti cha urais,ingawa karibu wote walijitosa(isipokuwa Moringe name Warioba).
Membe hawezi kuwa waziri mkuu, pinda ataenda na JK hadi mwisho wa awamu ya JK