nilitoa huo ushauri mwezi november. Yaani ukiangalia walio bench unaweza kuona ni wabovu kuliko walio ndani na kinyume chake pia.
...kazi inakuja 2015.
Kwa hiyo kwa mara nyingine baraza linavunjwa lote?
Membe kuwa PM? Asahau kuwa mgombea urais. Zaidi ya Baba wa Taifa,Mwl JK,hakuna PM mwingine aliyefanikiwa kuwa mgombea urais,acha kupata hicho kiti cha urais,ingawa karibu wote walijitosa(isipokuwa Moringe name Warioba).
Hata achaguliwe MALAIKA kwenye serikali hii ni lazima atakuwa SHETANI!
Ningekuwa mimi ningekataa kabisa kuchaguliwa kwenye serikali hii,ya nini kuharibiana CV!?
Maana hao waliobaki ndio hawa tunawaona bungeni na michango yao sio migeni kwetu ati!!!!!!
Kwa kweli kama inawezekana mkulu apunguze safari za nje akae na makatibu wapige kazi kwa kipindi kilichobaki hii ingia toka sasa haina tija tena!!!!!!
Mawaziri wasiwe wabunge jamani utendaji utaongezeka sababu watajua wakivurunda bunge litawashukia
,hii ya sasa uma huku unapuliza inakwamisha saaaaanaaaaa!!!!!
[/COLOR]
Katiba mpya imepitishahilo hakuna shaka nalo tena:clap2: