nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
Teh teh, kweli ni New Year source!
Unaendekeza personal ambition kwa manufaa ya nani???!!!Akikubali kuwa PM basi JK atakua na hila mbaya kwake na akikubali basi amekubali hila mbaya.
Wassira ndiye anaefaa kuwa PM
Habari wakuu,
Gazeti la SAUTI la leo tarehe 01/01/2014, limeripoti kuwa waziri wa mambo ya nje mh.Bernad Membe ndie atakuwa waziri mkuu.Pia gazeti hili limeripoti kuwa Dr Asha Rose Migiro ndie atateuliwa kuwa waziri wa mambo ya nje.
Vile vile gazeti hilo linasema mh Pinda kaamua kuachi ngazi kufuatia kelele za kumtaka ajiuzulu.
CHANZO:SAUTI
MY TAKE:
Lisemwalo lipo kama halipo laja.
Nikiambiwa nikamshauri kikwete Leo nani awe Waziri Mkuu nitampendekeza Stephen Wassira atleast anawezakumsaidia kuivusha serikali yake miaka iliyobaki.
ni wazo zuri, kwani wanatupa hasara tu.Haiwezekani kutoa wote hao wakabaki makatibu wakuu tumalizie ngwe???!!!!
Habari wakuu,
Gazeti la SAUTI la leo tarehe 01/01/2014, limeripoti kuwa waziri wa mambo ya nje mh.Bernad Membe ndie atakuwa waziri mkuu.Pia gazeti hili limeripoti kuwa Dr Asha Rose Migiro ndie atateuliwa kuwa waziri wa mambo ya nje.
Vile vile gazeti hilo linasema mh Pinda kaamua kuachi ngazi kufuatia kelele za kumtaka ajiuzulu.
CHANZO:SAUTI
MY TAKE:
Lisemwalo lipo kama halipo laja.
Habari wakuu,
Gazeti la SAUTI la leo tarehe 01/01/2014, limeripoti kuwa waziri wa mambo ya nje mh.Bernad Membe ndie atakuwa waziri mkuu.Pia gazeti hili limeripoti kuwa Dr Asha Rose Migiro ndie atateuliwa kuwa waziri wa mambo ya nje.
Vile vile gazeti hilo linasema mh Pinda kaamua kuachi ngazi kufuatia kelele za kumtaka ajiuzulu.
CHANZO:SAUTI
MY TAKE:
Lisemwalo lipo kama halipo laja.
Pm unamaanisha pmb mzigo au?
Nani ampe magufuri hata Ccm wanamjua ni mlamba viatu via wakubwa hata akiambiwa abomoe nyumba yake ili maradi kumfurahisha boss wake ni swala la sekundeMagufuli anabaniwa sana, sijui kwa vile kanda ile haipendi kuongea sana, ni zamu yake sasa, amerukwa muda mrefu
Imeshapitishwa, tarehe 6.1.2014 anatangazwa! Trust me