Nombo de classic
JF-Expert Member
- Jan 15, 2016
- 247
- 315
Mazwazwa wa Lumumba mpo???
Cprian musiba uyo.Cheusimangala... tunaanza na ww kukufuatilia.. ww ni nan???na jf umejiunga lin ???? Umeanza kutugea alert...
Uongo wa PhD ya kabudi Tz itoe wapi mtambo semea matunguri sio mtamboHizi clip zinatoka kitengo mkuu. Wamedukua simu zao kwa kushirikiana na mitandao ya simu. Hili liliwahi kutokea kipindi Lissu anadhambuliwa nao walikuwa wamedukua simu yake. Pia Jiwe ana mtambo maalum pale juu huwa anacheza na yeyote atakaye
Kachero mbobezi kazini.Kachero mbobezi anafunguka kiasi hiki tena inavyoonekana yeye ndo anashawishi kusikilizwa. Hili neno "kachero mbobezi" liangaliwe upya.
Mkuu wa wakuu wamikoa nae yupo kimya kweli.Hivi inakuwaje huyo wa jalalani mwingine Bashiru na chupaki polepole wako kimya kupita kiasi!? Wana mgomo baridi au wamepigwa marufuku kuongea!? Haiwezekani katibu mkuu na katibu mwenezi wawe kimya hivi wakati kuna sakata zito linafukuta.
Kimya kingi KINA MSHINDO.
Ni rahis tu..jiulize haya..umewahi kusikia muito wa sim kwenye hizi audio zote!!?JF kila mtu ana akili na uwezo wa kuchambua mambo kuliko mwingine.
Mkuu wa wakuu wamikoa nae yupo kimya kweli.
Nitawahi seatNasubiri nione watu wakilalamika siku mkikutana na thread inasema "mazungumzo ya mzee baba na mchepuko wake wa zamani Singida ambao aliuzalisha na kuuachisha kazi ya bar yanaswa"
Ndio mtaona raha ya mchezo huu.
Mchezo huu unachezwa kishamba Sana na usikute Gentamicine ndio anaefanya yote.Ni rahis tu..jiulize haya..umewahi kusikia muito wa sim kwenye hizi audio zote!!?
Lingine rudia ile audio ya kinana na nauye..utasikia kinana ndo anaongea zaid kufunguka haswa na nauye anajib kiufup sana...hali hii imetokea hata kwa clip hii..huyo muigiza saut ya nape ambae ndo katibu wa kijiji sijui mwenyekiti anaonekana kutokuwa anajua mambo vizur..anachombeza ili muigiza saut ya membe na ndie aliyeigiza saut ya kinana anaonekana kufunguka zaid...hata eneo ambalo mwenyekti wa kijiji hana hoja bado membe muigizaji anatafuta cha kusema...
Yona gani mkuuYona anachekesha sana aliandaa vi clip uchwara vitano na mataga naona amebakiza viwili ,yeye mwenyewe na mataga na vi clip vyao vya kubumba wanajiona wajanja ,kuliko kuvivujisha kama za kweli si mpeleke mahakamani ,ushahidi unautoa mtandaoni ? Akili ya musiba na mataga ya ajabu .
Umepaniki kwani umeitwa huku kahaingaike mwenyewAcheni huo upumbavu wenu tumechoka na hizo clip zenu hebu chukueni hatua mnazoziona zinafaa,mnatu hosha sisi tuacheni tuhangaikie maisha yetu
sound like a brave suggestionjamaa wamegundua style mpya ya kufikisha ujumbe,nimedukuliwa,kumbe ndo msg delivered
mbonaa kawaida tuhata mimi nakuzidi sana uchambuziJF kila mtu ana akili na uwezo wa kuchambua mambo kuliko mwingine.
Wewe ndio unamuona mbobezi ! Kwa umbea huyo dingi ! Acha kabisaaa!Wajinga ndio waliwao.
Kuna actors kibao siku hizi wa kuiga sauti, pili haiwezekani mbobezi kama membe aongee kimbea mbea hivi.