Mwanachama Peno Hasegawa usipotoshe watu kuhusu kijiji cha Itumbi Chunya

Sir Khan

JF-Expert Member
Jul 28, 2018
5,361
9,987
Kwa muda mrefu sijapost mada hapa JF, lakini baada ya kuona upotoshaji wa peno hasegawa kuhusu kijiji cha Itumbi imenibidi kuleta mada hii.

Nimekaa kijiji cha Itumbi kwa nyakati tofauti kuanzia 2019 hadi muda huu nipo Itumbi kwa shughuli za madini. Kwahiyo ninachoandika hapa sio simulizi au stori za vijiweni.

1. Peno anadai watu wanakufa kwa kunywa maji yenye metali aina ya zebaki(mercury). Madai haya sio ya kweli kwasabu maji yanayotumika kunywa na kupikia yanauzwa na watu wa baiskeli na guta,ambao wanayachota kwenye chemichemi zinazopatika sehemu inayoitwa Guduliki a.k.a jeshini. Pia kuna watu wana visima vyao wanauza maji.

Maji yanayotoka migodini hayatumiki sana kunywa wala kupikia,pia hayana mercury kwasababu mercury haitumiki ndani ya migodi bali inatumika kukamata dhahabu baada ya mchanga wenye dhahabu kusagwa na kuoshwa huko makarashani. Baada ya hapo maji yanakuwa machafu huwezi kuyanywa, kupikia au kuoga labda uwe mgonjwa wa akili.

Naendelea.

Pia soma Waziri wa Maji, Jumaa Aweso fika wilaya ya Chunya, kata ya Makongorosi, kijiji cha Itumbi, wananchi wanakunywa maji yenye sumu ya Mercury
 
Kwa muda mrefu sijapost mada hapa JF, lakini baada ya kuona upotoshaji wa peno hasegawa kuhusu kijiji cha Itumbi imenibidi kuleta mada hii.

Nimekaa kijiji cha Itumbi kwa nyakati tofauti kuanzia 2019 hadi muda huu nipo Itumbi kwa shughuli za madini. Kwahiyo ninachoandika hapa sio simulizi au stori za vijiweni.

1. Peno anadai watu wanakufa kwa kunywa maji yenye metali aina ya zebaki(mercury). Madai haya sio ya kweli kwasabu maji yanayotumika kunywa na kupikia yanauzwa na watu wa baiskeli na guta,ambao wanayachota kwenye chemichemi zinazopatika sehemu inayoitwa Guduliki a.k.a jeshini. Pia kuna watu wana visima vyao wanauza maji.

Maji yanayotoka migodini hayatumiki sana kunywa wala kupikia,pia hayana mercury kwasababu mercury haitumiki ndani ya migodi bali inatumika kukamata dhahabu baada ya mchanga wenye dhahabu kusagwa na kuoshwa huko makarashani. Baada ya hapo maji yanakuwa machafu huwezi kuyanywa, kupikia au kuoga labda uwe mgonjwa wa akili.

Naendelea.

Pia soma Waziri wa Maji, Jumaa Aweso fika wilaya ya Chunya, kata ya Makongorosi, kijiji cha Itumbi, wananchi wanakunywa maji yenye sumu ya Mercury
Punguza SIASA , Kwenye uhai wa watu.

Huko Jeshini unakopataja ni chem cchemu zenye maji kidogo Tena huko jeshini ndiko migodimingi ilipo na wanatumia mercury kushikisha dhahabu.

Waeleze watanzania tofauti ya maji yanayo vhukuliwa na baiskel na maguta Yana tofauti Gani na maji yenye zebaki kutoka migodini?

Je una uhakika Gani maji yanayoletwa na baiskel na maguta sio yanayotoka migodini na yana zebaki?.

Hujaongelea suala la uwepo wa vyoo safi na salama.

Ninaomba timu huru, iundwe kuikagua itumbi, ikiwemo waangalizi wa mercury wa kimataifa.

Kila kitu ni siasa na vifo ni vingi na watoto wanao zaliwa itumbi wanazaliwa na vilema.
 
2.Suala la vyoo sio kubwa kama peno anavyolikuza.Zaidi ya 90% ya nyumba za Itumbi zina vyoo,wale wenye nyumba hawana vyoo wanakamatwa.
Wanaojisaidia vichakani ni wale wanaofanya uchimbaji kwenye mapori yanayozunguka mji wa Itumbi.
 
Aisee inapokuja kwenye uhai wa watu tuache siasa.

Je ni watu wote wanauwezo wa kununua hayo maji?
Hizo chemichemi una uhakika gani kwamba hazifikiwi?
Acha uchawa, acha kuropoka, tumia akili.
 
2.Suala la vyoo sio kubwa kama peno anavyolikuza.Zaidi ya 90% ya nyumba za Itumbi zina vyoo,wale wenye nyumba hawana vyoo wanakamatwa.
Wanaojisaidia vichakani ni wale wanaofanya uchimbaji kwenye mapori yanayozunguka mji wa Itumbi.
Kwa muda mrefu sijapost mada hapa JF, lakini baada ya kuona upotoshaji wa peno hasegawa kuhusu kijiji cha Itumbi imenibidi kuleta mada hii.

Nimekaa kijiji cha Itumbi kwa nyakati tofauti kuanzia 2019 hadi muda huu nipo Itumbi kwa shughuli za madini. Kwahiyo ninachoandika hapa sio simulizi au stori za vijiweni.

1. Peno anadai watu wanakufa kwa kunywa maji yenye metali aina ya zebaki(mercury). Madai haya sio ya kweli kwasabu maji yanayotumika kunywa na kupikia yanauzwa na watu wa baiskeli na guta,ambao wanayachota kwenye chemichemi zinazopatika sehemu inayoitwa Guduliki a.k.a jeshini. Pia kuna watu wana visima vyao wanauza maji.

Maji yanayotoka migodini hayatumiki sana kunywa wala kupikia,pia hayana mercury kwasababu mercury haitumiki ndani ya migodi bali inatumika kukamata dhahabu baada ya mchanga wenye dhahabu kusagwa na kuoshwa huko makarashani. Baada ya hapo maji yanakuwa machafu huwezi kuyanywa, kupikia au kuoga labda uwe mgonjwa wa akili.

Naendelea.

Pia soma Waziri wa Maji, Jumaa Aweso fika wilaya ya Chunya, kata ya Makongorosi, kijiji cha Itumbi, wananchi wanakunywa maji yenye sumu ya Mercury
Kama hujaingia Jf siku nyingi, siku nyingine ukija,uwe na data , ili uweze kujenga hoja za kakanusha jambo.

Usifanye siasa kwenye maisha ya watu wa Itumbi.
 
peno hasegawa mimi sipo hapa kufanya siasa,naandika haya kwasababu napajua Itumbi na nimekuwa nafanya kazi hapa.
Maji ya guduliki au jeshini hayana mercury kwasababu chemichemi zake ni za asili na zipo mbali na shughuli za ukamatishaji dhahabu.
Unasema maji kutoka jeshini ni kidogo jambo ambalo sio kweli kwasababu ndiyo yanayotumika kunywa na kupikia kwenye migahawa na nyumba karibu zote.
Halafu unatakiwa ujue kuwa mercury haitumiki mgodini wakati wa uchimbaji inatumika kwenye ukamatishaji dhahabu huko makarashani.
Unasema watoto wanazaliwa na ulemavu Itumbi kwasababu ya mercury.Hapa naona unakuza mambo, mimi tangu nimefika Itumbi mara ya kwanza 2019 nimeona mtoto mmoja tu mwenye matege jambo ambalo ni la kawaida kila sehemu.
Kuhusu vifo,idadi kubwa ya vifo hapa Itumbi inasabishwa na ajali za migodini na watu kutumbulia mashimoni hasa walevi na watoto.
Ni watu wachache sana wanaokufa kwa kuugua.
Karibu tena.
 
Aisee inapokuja kwenye uhai wa watu tuache siasa.

Je ni watu wote wanauwezo wa kununua hayo maji?
Hizo chemichemi una uhakika gani kwamba hazifikiwi?
Acha uchawa, acha kuropoka, tumia akili.
WAPUMBAVU mnafikiri kila anayekuja hapa anakuja kufanya siasa na uchawa.
Umewahi kufika Itumbi au unaropoka?
Unafikiri kila mtu ni mswahili mwenzenu wa kujipendeka kwa wanasiasa?
Moron!
 
Mjinga peno hasegawa unadai barabara ya kwenda Itumbi "haikuwepo imetengenezwa juzi" wakati hiyo barabara imekuwepo tangu karne ya 20 licha ya kuwa ni mbaya hasa kuanzia matundasi ingawa ukarabati wa march umeirekebisha kwa kiasi.
Kama barabara haikuwepo mkoloni alisafirishaje madini na mitambo kwenda na kutoka Itumbi?
4.Kuhusu zahanati ni kweli haifanyi kazi kwa viwango na ukienda usiku unaweza usipate huduma.
 
Chawa kazini.
Mjinga peno hasegawa unadai barabara ya kwenda Itumbi "haikuwepo imetengenezwa juzi" wakati hiyo barabara imekuwepo tangu karne ya 20 licha ya kuwa ni mbaya hasa kuanzia matundasi ingawa ukarabati wa march umeirekebisha kwa kiasi.
Kama barabara haikuwepo mkoloni alisafirishaje madini na mitambo kwenda na kutoka Itumbi?
4.Kuhusu zahanati ni kweli haifanyi kazi kwa viwango na ukienda usiku unaweza usipate huduma.
 
Mjinga peno hasegawa unadai barabara ya kwenda Itumbi "haikuwepo imetengenezwa juzi" wakati hiyo barabara imekuwepo tangu karne ya 20 licha ya kuwa ni mbaya hasa kuanzia matundasi ingawa ukarabati wa march umeirekebisha kwa kiasi.
Kama barabara haikuwepo mkoloni alisafirishaje madini na mitambo kwenda na kutoka Itumbi?
4.Kuhusu zahanati ni kweli haifanyi kazi kwa viwango na ukienda usiku unaweza usipate huduma.
Kama uliiona ile ni barabara nimekusamehe.
 
Back
Top Bottom