SAUT: Wenje ametutelekeza


tukumbuke pia ni Wenje huyuhuyu ndiye alipewa karapio kali na chama chake pale walipong'amua jaribio lake kuhamia CCM baada ya kuhongwa mil 200. Jaduong haponi 2015.
 
Wenje usipokee simu zao.

wanafunzi wa SAUT ni wajinga kweli.
Hebu jiuzeni tu,hata nyie wanaume mjiuze ili muwasaidie
wadada hela za kujikimu.

Yaani nyie hamjuagi kudai hela zenu,mnakalisha makalio chuni tu mnasubiri
wengine wapige kunji na nyie mfaidike. nyambafu zenu,JIUZENI,HAMJAANZA JANA WALA LEO.

Wenje usipokee simu,utakufa njaa,jenga tumbo lako jaduong'
 
kazi yake ninini?, wanafunzi kutoka jimboni kwake wamepata matatizo yeye yuko karibu na serikali, achukue hoja zao aziwakilishe panapohusika. Linapokuja swala la kamanda mwenzetu kuzembea tusimtetee.

Wenje hayuko karibu na serikali. Acha ujinga
 
tukumbuke pia ni Wenje huyuhuyu ndiye alipewa karapio kali na chama chake pale walipong'amua jaribio lake kuhamia CCM baada ya kuhongwa mil 200. Jaduong haponi 2015.

we una yako!
 
Wenje hayuko karibu na serikali. Acha ujinga

ninaposema yuko karibu na serikali simaanishi ananyanao kazi ofic moja. Kwa kutumia nafasi yake ya kibunge ni rahisi kuwasiliana na serikali. Shirikisha akili yako kufikiri mkuu.
 
ninaposema yuko karibu na serikali simaanishi ananyanao kazi ofic moja. Kwa kutumia nafasi yake ya kibunge ni rahisi kuwasiliana na serikali. Shirikisha akili yako kufikiri mkuu.

hapo kwenye red rekebisha kiswahili halafu twende pamoja
 
tukumbuke pia ni Wenje huyuhuyu ndiye alipewa karapio kali na chama chake pale walipong'amua jaribio lake kuhamia CCM baada ya kuhongwa mil 200. Jaduong haponi 2015.

Leta ushahidi, ongea kwa facts, jana alipewa karipio leo anateuliwa kua mkurugenzi wa mambo ya nje?
 
hayo si yangu, hizi ni taarifa za wanafunzi toka jimbo la Wenje na zimeandikwa kwenye gazeti la SAUTI HURU.

siyo yako halafu unakomalia? na ulichoandika hapo mbona inadhibitika kua wewe ndie ulieandika? la sivyo ungeweka source
 
Akili zenu za desa hata uwezo wa kufikiri ni mdogo: hata bodi ya mkopo naye pia ni WENJE>< : Pombe Makufuli Igunga >< msichagua ssm daraja la MBUTU haitajengwa>< similar to all SAUT
 
SAUTI HURU ni gazeti dada la wanazi wa ssm na jambo leo>< uliyetoa thread yawezekana una malengo yako>< achana na weje watz tunaona kazi yake mjengoni<>
 
Wenje shughulikia madai ya wanafunzi hawa. Achana na watu wanaokukingia kifua humu, jaribu kufuatilia suala hili. Nakumbuka SAUT ilikua chachu ya ushindi wako.
 
Leta ushahidi, ongea kwa facts, jana alipewa karipio leo anateuliwa kua mkurugenzi wa mambo ya nje?

Mbona hili liko wazi, kijana alitaka kuteleza na akaonywa na chama. Nakumbuka vyombo vya habari viliandika hili.
 
Hatari zaidi ni kuwa hawa wasomi=wataalamu watarajiwa hawalioni hilo. Nahisi walitegemea mbunge atoe mfukoni na kuwatimizia mahitaji yao. Uzembe wa kufikiri kwa viongozi watarajiwa.
 
wenje kama unanipata ukiona namba mpya au mwanafunzi wa sauti usipokee, tena kata kabisa. kwanini musiandamane? Na mkiandamana napiga simu polisi
 
Jamii ya SAUT ni kubwa jamani...na kwa ukubwa wake nafikiri inahitaji attention ya mtu kama MBUNGE...
 

Mh! hao ndo aina ya wasomi wetu, walitaka mbunge afanye nini katika hilo?
Huu ni muendelezo wa mkakati wa kutaka kuwafarakanisha wabunge na wananchi wao, mlianza kwa kina Lema, Mdee, Nassari ,Sugu sasa kwa Wenje.....endeleeni tu, ila hamtafanikiwa!
 
Moja ya ahadi zake Wenje pindi alipokua akigombea ni kwamba pindi atakapoingia bungeni suala la ucheleweshwaji wa mikopo kwa wanafunzi wa SAUT litakuwa ndoto. Pia aliahidi kuwa karibu na wanafunzi kwa jambo lolote pale watakapomhitaji.
Na wewe Mkuu unajiuza?

Pole sana Dada/Kaka!! Endelea tu kujiuza mkuu maana akili yako ndo imefikia mwisho!

By the way, hivi Wenje ndo Rais wa SAUTSO siku hizi au ndo Msaidizi wa Kitima?
 
Mh! hao ndo aina ya wasomi wetu, walitaka mbunge afanye nini katika hilo?
Huu ni muendelezo wa mkakati wa kutaka kuwafarakanisha wabunge na wananchi wao, mlianza kwa kina Lema, Mdee, Nassari ,Sugu sasa kwa Wenje.....endeleeni tu, ila hamtafanikiwa!

sshhhh....! ishia hapo, mimi ni CDM kindakindaki ila panapotokea mbunge ameteleza kidogo si mbaya kumkumbusha. SAUT pekee ni taasisi kubwa ina idadi kubwa ya watu zaidi hata ya majimbo mengi .
 
sshhhh....! ishia hapo, mimi ni CDM kindakindaki ila panapotokea mbunge ameteleza kidogo si mbaya kumkumbusha. SAUT pekee ni taasisi kubwa ina idadi kubwa ya watu zaidi hata ya majimbo mengi .

acha upuuzi wako wewe.....Kwani wale masalia hawakuwa wakijiita namna hiyo? Tena mpaka leo yule binti kinara wao anaendelea kuamini hivyo. lengo lako tumeshalifahamu, wala husumbui tena
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…