zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Kwani kinachozungumziwa hapa ni uwezo wa kufanya ngono? Mwanamke wa umri wowote anaweza kufanya ngono. Vile vile mwanamke yeyote anaweza kufanya ngono na mtu yeyote bila kujali kama ni baba yake, kaka yake, mtoto wake, binamu yake, rafiki yake, adui yake, mpenzi wake, mteja wake n.k. Uamuzi wa kuchagua nani afanye nae ngono hauendani kabisa na uwezo wake. Kwa hali hiyo , kama kinachokatazwa ni yeye kukutana na watu anaoweza kufanya nao ngono basi wanawake wote wazuiwe kukutana na mtu yeyote ( mwanaume au mwanamke) asiye mume wake. Kwa uhakika zaidi itabidi basi asiruhusiwa hata kubaki peke yake maana uwezo wa kujistarehesha mwenyewe anao! Hii sheria ni ya kipuuzi, period.
Amandla....
Kwa wasio na macho wala masikio ndio waonavyo hivyo, kuwa ni ya kipuuzi. Na ndio maana Jela zetu zimajaa wabakaji wa kila namna. Tushasikia vibibi vizee vikibakwa na vijana, vitoto vikibakwa na vizee. Wachungaji wakibaka, wachungaji wakif---a na kuolewa. Yote hayo ni kutokuwa na macho yanayoona na masikio yanayosikia.
Tazama nchi zinazofata Sharia (sio sheria) ulinganishe na zinazofata sheria uone tofauti ya crime rates. (NO MATTER WHICH CRIME)