Saudia yaifungia Al Jazeera ya Qatar

Saudia yaifungia Al Jazeera ya Qatar

Bahati mbaya FIFA ni chombo huru ambacho hakiendeshwi na siasa. World cup 2022 Qatar itafanyika despite of what is happening.
FIFA huru iliondoka na Blatter! Waliowekwa sasa wapo kama vibaraka wa makampuni makubwa ya ulaya na Marekani kwa lengo la kufanya biashara kubwa na zenye faida ya haraka kwa kuitumia FIFA!
Kinachowaumiza kichwa ni kugawana ulaji huo na Nchi mwenyeji kwa mashindano ya 2022 ilihali ni hasimu wao mkubwa!
 
IMG_1507.GIF
ISIS GODDESS OF 10000 names!
 
Kuna mengi hatuyafahamu ila twaandika kana kwamba tulikua kwenye vikao vya kumfanyia hivo Qatar
 
Je vyombo vya FIFA vilishindwa kumuwajibisha?Ni USA ndo waliotia miguu Uswizi
Hii issue ni FIFA ndo wamedili nayo mwanzo ni marekani waliwakamata lakini ni kwa maelekezo ya FIFA.
 
Wapambe.
Ila hata bongo,ardhi yote ni ya RAIS

Ila bongo RAISI anachaguliwa kwa miaka mtano au kumi. Nabaada ya hapo anakuja RAISI/mmliki mwingine. Hiyo nitofauti kubwa sana maana al-saud family wamekwama nao tena jinsi trump ananyo wauzia silaa ndio basi tena. Nchi nyingi za kiarabu na waislam hawaupendi huo ukoo. Ila na ukoo huo nao umeamua kujiwekea mizizi .
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Serikali ya Saudia imesimamisha urushaji matangazo na kufunga ofisi za kanali ya televishani ya al-Jazira inayomilikiwa na Qatar nchini humo.

Taarifa iliyotangazwa leo na viongozi wa Saudia imewataka wafanyakazi wote na waandishi wa habari wa kanali hiyo ya Qatar wenye uraia wa Saudia ambao wanaishi nje ya nchi, kurejea nyumbani haraka iwezekanavyo.

Kufuatia hali hiyo, serikali ya Qatar nayo imejibu mapigo kwa kusimamisha safari za Shirika la Ndege la Qatar Airways kwenda nchini Saudia, sambamba na kuwataka raia wanaoishi nchini Saudia kurejea nchini.

Kadhalika Wizara ya Mambo ya Nje ya Qatar imetangaza kuwa, uamuzi wa Saudia, Imarat, Bahrain, Misri na Libya wa kukata mahusiano na Doha, kamwe hautoathiri kwa namna yoyote maisha ya kawaida ya raia wake au watu wanaoishi ndani ya ardhi hiyo (Qatar.)

Kauli hiyo imetolewa kufuatia uamuzi wa nchi hizo za Kiarabu kutangaza mapema leo kukata mahusiano yao na Qatar ambapo serikali ya Doha imesema kuwa, uamuzi huo umechukuliwa kwa pupa na kwamba madai yaliyochukuliwa na Saudia dhidi yake hayana msingi wowote.

Source: Parstoday.sw
Waarabu wendawazimu kabisa!
 
Hii ni kuongeza uchonganishi kila upande
Japani hawapo vizuri na China
Urusi na Ulaya kwaujumla
sasa ni Mashariki ya kati
hii ni maandalizi ya vita ya Dunia
 
Ila bongo RAISI anachaguliwa kwa miaka mtano au kumi. Nabaada ya hapo anakuja RAISI/mmliki mwingine. Hiyo nitofauti kubwa sana maana al-saud family wamekwama nao tena jinsi trump ananyo wauzia silaa ndio basi tena. Nchi nyingi za kiarabu na waislam hawaupendi huo ukoo. Ila na ukoo huo nao umeamua kujiwekea mizizi .
Ni kweli,ila kwa miaka mitano hiyo anaweza kuifanya chochote apendavyo hiyo ardhi.
 
Amemshindwa kwa NK ameamua apitie kwa Qatar ajui kwamba Iran na NK pamoja na Russia ukiongeza na laana za Gaddaf hawatamuacha salama mmarekani......
Huu ni Muda wa kuifuta marekani kwenye uso wa dunia...
Unaota ndoto nini? Eti Marekani kufutwa ktk uso wa dunia! Unapoona waarabu wanakosana, hasa na nchi yenye chimbuko la uislamu! Basi jua hiyo dini ndiyo ina angamia taratibu na itatokomezwa sababu imeleta matatizo sana duniani.
 
Nimewachoka waarabu mpk Libya na ninyi MNA mgomo?? Hahaaa
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Mmeshaanza kusingizia wazungu! Saudi Arabia wanapo chinja watu hadharani nayo mtalaumu USA?
wazungu kiboko sana,hasa kubwa lao USA....just wondering y now after trump visited the middle east,not coincidence kumbuka pia wazungu walipinga san Qatar kupewa world cup 2022 kwa kulipiza kisasi wakafanya figisu wakamngoa Blatter
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Kuna Dalili Za Kivita Huko

Bifi baina ya Qatar na Saudia ni ya kimaslahi/influence na inaogopa sana ukoo wa kifalme kupinduliwa kwa kupitia mbinu za colour revolution, utawala wa Kifalme hawajiamini hata kidogo - katika mbinu zake za kutaka kujihami linataka ndiyo liwe Taifa linao wika Mashariki ya kati i.e a mini Super Power - watumie uwezo wao kijeshi kuwatishia Waarabu wenzake na raia wa Saudia ili wasifurukute, vile vile Saudia inatumia vibaya utajiri wake kuendeleza siasa zake Mashariki ya kati zenye lengo la kutaka kuvuruga amani kwenye Nchi washindani wao notably IRAN na Syria kwa support ma rebels kwa kuwapatia silaha na fedha. Binafsi siamini kama Trump anahusika katika ku-influence mifarakano ya Saudia na Qatar we sema labda Saudia ilitumia ujio wa Trump nchini mwao kuikandia Qatar kwamba ina support Ugaidi wakati kila mtu mwenye akili timamu anajua Sadia ndiye kinara wa kuvurunga nchi za watu hasa Sysria na Iran.

Narudia kusisitiza kwamba Saudia ina wasi wasi na IRAN, Syria na sasa Qatar, kwa akili zao wanafikiri nchi hizo tatu zinaweza kuwapa mafunzo na ku-finance waasi wa kupidua utawala wa Kifalme, ndiyo maana kwa kupitia ushawishi wake wa kifedha inajaribu sana ku-influence mataifa mengine ya Kiarabu yamtenge Qatar na wao wanakubali bila ya kutafakari undani wa tatizo, mwishowe anaweza kuwashawishi waungane kuishambulia Qatar kijeshi kwa madai kwamba wanafunga ugaidi - Saudia hawataki kuchukua jukumu hilo peke yao baada ya enyeshwa na waasi wa Yemeni, huu sijui mwaka wangapi tangu wavamie Yemen pamoja na Saudia kuwa na silaha nyingi za kisasa bado wameshindwa kutimiza malengo yao huko Yemen, wanajua wakijiingiza Qatar mambo yanaweza kuwa mabaya zaidi ni afadhali wajaribu kuwashurutisha Waarabu wenzao ili washirikiane nao kijeshi/uvamizi just in case.
 
Back
Top Bottom