Hebu acha utani, Saudi Arabia ni super power kiuchumi wakifuatiwa na UAE katika Gulf, Qatar ni nchi ndogo sana kama mji mmoja tu wa Saudia. Lazima ujuwe land border wanategemea wa Saudia na UAE na hii imefungwa. Qatar ni fund mkubwa wa Hezbollah na muslim brotherhood. ziara ya Trump juzi ni big deal na price ni kuget rid ya mfalme wa Qatar na hili lina green light ya USA na utaniambia siku chache utasikia mfalme out na things back to normal. Qatar ni tatizo kubwa ki nchi hata Dar kubwa basi fujo tu ila wakati wao umefika. na kukumbusha tu Qatar ina history ya kufukuzana katika ufalme Baba yao alipindulia na mtoto wake na huyu alimtoa baba yake na hii ni zamu yake. mark my world.