Saudia yaifungia Al Jazeera ya Qatar

Saudia yaifungia Al Jazeera ya Qatar

Kwanini Saudia amekuwa na power kuifunga Aljazeer? hili shirika likifanya kazi zake katika nchi gani baina ya hizi nchi mbili? mmiliki ni nani?
Aljazeera ipo Doha,Saudia wameifungia isirushe matangazo kwao,ila Aljazeera inaendelea kurusha matangazo
 
Hivi Qatar anahitaji nini saudia zaidi ya chakula? Kwa nchi yenye pesa kama Qatar unaweza kutishia kutowauzia chakula? Na pesa yao? Sasa hao wakulima waliokuwa wanatumia soko la Qatar watapeleka wapi mazao yao? Iran na nchi za Africa zitaingiza chakula kwa wingi,
Na kitu kingine ambacho watu hawakijui Qatar amewekeza zaidi nje kuliko ndani. Ulaya ,marekani, uingereza, China kote huko ana miliki kwenye makampuni makubwa ya viwanda vya magari ,nishati , sports nk. Kwahiyo huyu si wakispoti.
 
Kwanini Saudia amekuwa na power kuifunga Aljazeer? hili shirika likifanya kazi zake katika nchi gani baina ya hizi nchi mbili? mmiliki ni nani?
_20170606_114555.JPG
 
We huijui Qatar nakwambia hakuna nchi ya kiarabu inayoweza kusimamia nayo kwa kila kitu yani kuanzia uchumi.
Haitaji akili nyingi kujua hadi sasa Qatar wameshindwa hii vita, tayari Waziri wa mambo ya nje wa Qatar anaomba mazungumzo na hizo nchi.
 
Tatizo ni ukoo wa kifalme saudi arabia. Huu ukoo pesa yao ni ndefu wakitaka wanaweza kulifanya bunge letu lipitishe sheria ya wanaume wote Tanzania kufuga midevu
ofcourse mali zote za saudia ni mali ya mfalme (Royal family)..wengine ambao hawapo kwenye royal family ni vibaraka.
 
Haitaji akili nyingi kujua hadi sasa Qatar wameshindwa hii vita, tayari Waziri wa mambo ya nje wa Qatar anaomba mazungumzo na hizo nchi.
Watu bwana. Qatar inasisitiza dialogue katika masuala haya. So far Qatar wameshtushwa na hatua ambazo hawakuzitegemea yani ni kama kitu kimetokea bila kuwa na chanzo wamebaki wana butwaa. Kumbe wenzao walikuwa wana Mipango ya chini kwa chini bila kumshirikisha Qatar. Na hapa engineer wa yote ni Saudi Arabia ni kama wanataka wamkomeshe kutokana na wivu tu na uhusiano wake na Iran na si lolote.
Kila upande utaathirika katika hili.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
ofcourse mali zote za saudia ni mali ya mfalme (Royal family)..wengine ambao hawapo kwenye royal family ni vibaraka.
Wapambe.
Ila hata bongo,ardhi yote ni ya RAIS
 
Hili la Qatar ni option B ya kujaribu kuyaondoa mashindano ya Kombe la Dunia yasifanyike Qatar! Nchi za Ulaya na Marekani zina wivu wa ajabu katika maendeleo ya uchumi dhidi ya mataifa hasimu kwao! Sishangai baada ya muda utasikia sauti za kuzuia mashindano hayo yasifanyike Qatar! Wajinga hapa jukwaani wanaaminishwa na kuimba juu ya ugaidi! Eti Qatar inafadhili ugaidi! Qatar haiwezi kuizidi Irani na Saudi Arabia katika kufadhili ugaidi!
 
Wapambe.
Ila hata bongo,ardhi yote ni ya RAIS
Utofauti ni kwamba kwa Saudia mali zote zipo kwa jaili ya kuinufaisha familia ya mfalme...yani familia ya mfalme iishi maisha ya kishetani...
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Hili la Qatar ni option B ya kujaribu kuyaondoa mashindano ya Kombe la Dunia yasifanyike Qatar! Nchi za Ulaya na Marekani zina wivu wa ajabu katika maendeleo ya uchumi dhidi ya mataifa hasimu kwao! Sishangai baada ya muda utasikia sauti za kuzuia mashindano hayo yasifanyike Qatar! Wajinga hapa jukwaani wanaaminishwa na kuimba juu ya ugaidi! Eti Qatar inafadhili ugaidi! Qatar haiwezi kuizidi Irani na Saudi Arabia katika kufadhili ugaidi!
Bahati mbaya FIFA ni chombo huru ambacho hakiendeshwi na siasa. World cup 2022 Qatar itafanyika despite of what is happening.
 
Hili la Qatar ni option B ya kujaribu kuyaondoa mashindano ya Kombe la Dunia yasifanyike Qatar! Nchi za Ulaya na Marekani zina wivu wa ajabu katika maendeleo ya uchumi dhidi ya mataifa hasimu kwao! Sishangai baada ya muda utasikia sauti za kuzuia mashindano hayo yasifanyike Qatar! Wajinga hapa jukwaani wanaaminishwa na kuimba juu ya ugaidi! Eti Qatar inafadhili ugaidi! Qatar haiwezi kuizidi Irani na Saudi Arabia katika kufadhili ugaidi!
Hili la WORLD CUP mimi nililihisi soon baada ya kusoma breaking news
 
Bahati mbaya FIFA ni chombo huru ambacho hakiendeshwi na siasa. World cup 2022 Qatar itafanyika despite of what is happening.
FIFA SI CHOMBO HURU.
Rejea sekeseke za kumuondoa Sep Blater
 
Kama uliskiliza speech ya Trump wakati wa ziara yake utajua ndo inafanyiwa utekelezaji sasa
Hata iran walisema hilo, siku hizi freedom fighters kama muslim brotherhood ha Hamas , madikteta na vibaraka wa wazungu na wazungu wenyewe uwaita magaida hili kupata symphath na kuendelea kuwakakandamiza
 
Back
Top Bottom