tracy martins
JF-Expert Member
- Aug 5, 2014
- 3,535
- 1,484
Gadafi alikuwa Na akili mkuu, Qatar nao wako vizuri , Yasser naye alikiwa vizuriHakuna mwarabu mwenye akili, sawa na waafrika!
Gadafi alikuwa Na akili mkuu, Qatar nao wako vizuri , Yasser naye alikiwa vizuriHakuna mwarabu mwenye akili, sawa na waafrika!
Vipi Saudia ?Qatar ni miongoni mwa nchi inayowafadhili akina nyinyi(IS/ISIS/ISIL)
kapalamsenga gesi KIDUCHUUUUU.KUNA MATRILION YA FUTIGas yenu ya Msimbati ni kiduchu wao wanaangalia kwenye wingi ili waweke mrija mkubwa
Ndio nazungumzia per capital incomeNi per capital gdp na sio nominal.jifunzi kujua izo gdp.ni sawa na norway inaizid ujeruman kwa per caputal lakin nominal ujeruman ipo juu
Unazungumza usichokijuaHuo
Huo ukoo ndio tatizo hasa na ni vibaraka wa wazungu
Aisee wanatofautiana waarabu, wanalaumiwa wazungu!! Sasa waliopanga ilo kombe la dunia lifanyike Qatar sio ndio hao hao wazungu, wakina sepp blatter. Mbona mnapenda kutafuta wa kuwasingizia matatizo yenu nyie waarabu weisi?Hili la Qatar ni option B ya kujaribu kuyaondoa mashindano ya Kombe la Dunia yasifanyike Qatar! Nchi za Ulaya na Marekani zina wivu wa ajabu katika maendeleo ya uchumi dhidi ya mataifa hasimu kwao! Sishangai baada ya muda utasikia sauti za kuzuia mashindano hayo yasifanyike Qatar! Wajinga hapa jukwaani wanaaminishwa na kuimba juu ya ugaidi! Eti Qatar inafadhili ugaidi! Qatar haiwezi kuizidi Irani na Saudi Arabia katika kufadhili ugaidi!
Yupo sahihi kuwafadhili IS?Hila Qatar wako sahihi saana sema hao arabs league states viongozi ni madikteta na vibaraka wa wazungu , Qatar ana mkataba na uturuki wa kuilinda
IS hata Saudia anawafadhili,pia US inaiuzia silaha saudia , then saudi anawapa IS , kwani nn chanzo cha IS ? Lets focus to the source not outcomesYupo sahihi kuwafadhili IS?
Haya ni faamishe , ww unafikiri kwann huo ukoo sio tatizo ? Hao ni vibaraka wa waamerikaUnazungumza usichokijua
Inaelekea wewe ni shia. Unaandika kama vile wengine hawazijui hizo nchiNchi za Gulf zenye watu maskini zaidi saudia, Bahrain, nchi za Kuwait, Qatar, emirate na Oman watu wake wana mazuri sana kuzidi hao wasaudia, ukitaka kujua warabu ombaomba nenda emirate na Qatar na utakuta ni wasaudia
Mashariki ya kati hakuna shetani na mfitinishaji mkubwa kama IranKatika mataifa ya kiarabu hakuna mnafiki na nyoka kama Saudi Arabia
Umethibitisha huijui Saudia bali unafuata propaganda za IranIS hata Saudia anawafadhili,pia US inaiuzia silaha saudia , then saudi anawapa IS , kwani nn chanzo cha IS ? Lets focus to the source not outcomes
Huo ushia na usunni ndio uliofikisha warabu hapo walipo, saudia aliingia Yemen kutafuta nini? Bahrain kafata nini na mwenzake iran?Inaelekea wewe ni shia. Unaandika kama vile wengine hawazijui hizo nchi
Nilijua utafikiria hilo , mimi ni sunni , sema sijali saana hayo matabaka ,kwa hiyo kama unaisapoti saudi kwa sababu ni sunni basi umeliwa ,tuache ubaguzi sisi sote ni wamoja , kama issue ingekuwa sunni na shia basi Qatar hasingegombana na saudi kwani wote ni wasunni wanaofuata salafi version ,kwa hiyo lets focus to the matter , binafsi wanauonga mkono iran naona hawa jamaa zetu wa sunni wametuangusha saana kazi yao kujipendekeza kwa US hili wasitolewe madarakani huo ufalme wa saudi unaosifu ww , ingekuwa iran anajali usunni na ushia hasingewasapoti palestine kwani wengi ni sunni, hao saudia umesikia hata sikumoja hakiikemea israel kwa jinsi inavyowafanjia wapalestineInaelekea wewe ni shia. Unaandika kama vile wengine hawazijui hizo nchi
Saudia ndio nyoka. Irana hana Tatizo na mtuMashariki ya kati hakuna shetani na mfitinishaji mkubwa kama Iran
ww una hoja mkuu , funguka sasaUmethibitisha huijui Saudia bali unafuata propaganda za Iran
Huyo jamaa inaelekea misaada ya wasaudi wanaoletaga misitini uwa anafaidika nayo kwa hiyo anaogopa kuipotezaSaudia ndio nyoka. Irana hana Tatizo na mtu
Yaani wameanza kufarakana wao kwa wao tena badala ya kuungana!!!!