Black fire
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 755
- 1,309
Hizi nchi za kiarabu zmeshndwa kukata mahusiano na Assad wa Syria?
Qatar lazima watakuwa wadogo.Serikali ya Saudia imesimamisha urushaji matangazo na kufunga ofisi za kanali ya televishani ya al-Jazira inayomilikiwa na Qatar nchini humo.
Taarifa iliyotangazwa leo na viongozi wa Saudia imewataka wafanyakazi wote na waandishi wa habari wa kanali hiyo ya Qatar wenye uraia wa Saudia ambao wanaishi nje ya nchi, kurejea nyumbani haraka iwezekanavyo.
Kufuatia hali hiyo, serikali ya Qatar nayo imejibu mapigo kwa kusimamisha safari za Shirika la Ndege la Qatar Airways kwenda nchini Saudia, sambamba na kuwataka raia wanaoishi nchini Saudia kurejea nchini.
Kadhalika Wizara ya Mambo ya Nje ya Qatar imetangaza kuwa, uamuzi wa Saudia, Imarat, Bahrain, Misri na Libya wa kukata mahusiano na Doha, kamwe hautoathiri kwa namna yoyote maisha ya kawaida ya raia wake au watu wanaoishi ndani ya ardhi hiyo (Qatar.)
Kauli hiyo imetolewa kufuatia uamuzi wa nchi hizo za Kiarabu kutangaza mapema leo kukata mahusiano yao na Qatar ambapo serikali ya Doha imesema kuwa, uamuzi huo umechukuliwa kwa pupa na kwamba madai yaliyochukuliwa na Saudia dhidi yake hayana msingi wowote.
Source: Parstoday.sw
Saudi is big snitch of allwaarabu ni very snitches
Na waafrika hatupendani, watu wa korea hawapendani, wazungu (Urusi na NATO) hawapendaniWaarabu wanafiki sana, wanaumana wenyewe kwa wenyewe..!! Hata hawapendani ndio maana huko kila siku vita..!!
Poor Arabs..!!!
hilo pia lipo , lakini wa wananchi wa saudi pia wanakosa habariHapana, aljazeera ndio inaumia kukosa coverage ya Saudia maana yake yameshuka kwenye ukubwa wa masafa na kuna matangazo watayakosa kutoka Saudia, commercials.
Kushinda SISI WAAFRIKA?Amepigwa Gaddafi hapa AFRIKA ikanyamaza kimyaaaa leo ndo Tuanenda kuwasuluhisha.Waarabu watu wa ajabu sana.....
Huo ukoo ndio tatizo hasa na ni vibaraka wa wazunguTatizo ni ukoo wa kifalme saudi arabia. Huu ukoo pesa yao ni ndefu wakitaka wanaweza kulifanya bunge letu lipitishe sheria ya wanaume wote Tanzania kufuga midevu
Yaani wameanza kufarakana wao kwa wao tena badala ya kuungana!!!!
Waache wamalizane kabisa! Hasira ya mkizi, furaha ya mvuvi!Yaani wameanza kufarakana wao kwa wao tena badala ya kuungana!!!!
Waache wamalizane kabisa! Hasira ya mkizi, furaha ya mvuvi!
mchague na maneno ya kuropoka!...sio wote kina mudy TzTatizo ni ukoo wa kifalme saudi arabia. Huu ukoo pesa yao ni ndefu wakitaka wanaweza kulifanya bunge letu lipitishe sheria ya wanaume wote Tanzania kufuga midevu