Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,199
- 10,932
Kiongozi mkuu wa kundi la Houth linalopambana na mataifa matatu yanayoiunga mkono Israel kuendeleza vita Gaza,ameionya Saudi Arabia isije ikafanya kosa la kutoa ardhi yake kufanikisha kushambuliwa kwa Yemen.
Onyo hilo limetolewa na Mohammed Ali al-Houthi kupitia mahojiano na kitua cha televisheni cha Almasirah hapo jana.
Houthis warn Saudi Arabia ‘it would be a target’ if it backs US-UK strikes
Onyo hilo limetolewa na Mohammed Ali al-Houthi kupitia mahojiano na kitua cha televisheni cha Almasirah hapo jana.
Houthis warn Saudi Arabia ‘it would be a target’ if it backs US-UK strikes