Sasa vita mpya CHADEMA, CCM

Sasa vita mpya CHADEMA, CCM

Nilona gazeti la uhuru likiwa ktk stand..nikacheka kwa jinsi lilivyopata rangi ya kutu haraka hata kabla ya saa 5(kwa reaction na hewa), ni kamwambia jamaa mmoja ambaye si mtanzania.Kumbe ni mtaalamu wa printing akaniambia kuwa karatasi zake si za magazeti.Nikacheka sana..hadi leo CCM hawajui makaratasi ya hiyo kazi halafu wanataka waendelee tawala hii nchi?

Ushaona mtu aliyejikopesha? CCMagamba wanajikopesha na kujichakachua wao wenyewe. Usishangae ndo walivyo wakitoka Ikulu ndo watakuwa makini...
 
Mhhhh! lol! naona bado unacheza na miguu yote miwili 🙂🙂 Pumzisha mguu mmoja. By the way saa ngapi unapika futari na daku!? Maana kila nikiingia huku nakukuta ukishiriki katika majadiliano mbali mbali. Msalimie gozigozi 🙂🙂

Nilikuwa natumia
Paw
.
 
ili kitu kife lazima kipitie hatua za kufa pitia third law of thermodynamic known as entropism,ccm inapitia hizo hatua tena kwa kasi mno...anayebisha abishe tu upo huru
 
Tanzania Daima ni gazeti la UDAKU...
Kwa hiyo yaliyoandikwa humo ni udaku? nlikuwa nataka kujua source ya hiyo habari... kujua kama ni tanzania daima nimefarijika sana maana ujumbe utawafikia asilimia 95 ya wasomaji wa magazeti maana ndio gazeti linaloongoza kwa kuuzwa...
 
  • Thanks
Reactions: BAK
uongo upi we kinabo unawashwa masabur....n pimbi mkubwa wewe,yote yana mwisho itafahamika mshatudanganya sana tumechoka kuburuzwa.

Mtu apigwe mabomu apigwe na sub machine gun, apigwe na risasi, yu hai tu? amekuwa ni kikatuni? maana mambo hayo huwa nnayaona wajukuu zangu wanapotazama vikatuni. Ananchekesha!
 
Sasa vita mpya CHADEMA, CCM

•Huu ni ukweli usiopingika. Sasa kama yasemwayo siyo ya kweli mbona Mheshimiwa Rais wetu JK anakaa kimya? Inabidi ayatolee majibu.

Maswali muhimu ambayo anapaswa kuyajibu ni haya

1. Je ni kweli kuwa CCM ina Green Guard?
2. Wana maana gani kukataa miiko ya viongozi kwenye katiba?
3. Hawa wananchi wanaouwawa au walioumizwa na vyombo vya dola kwake ni sherehe ya Arusi?
4. Je, ni lini watu watakuwa huru kujieleza na kutoa mawazo yao bila kuonekana wasaliti?
5. Je anafikri CCM ITAKUWA MADARAKANI MILELE?
6. Mikataba inayotolewa kwa ubinafsi au kwa maslahi ya waziri fulani anachukua hatua gani?
7. Kauli zinazotolewa na mawaziri wake zinamfurahisha kwa kaisi gani? Mbona hawachukuliwi hatua za kinidhamu?
8. Kweli haoni jinsi Speaker ( ambaye ameshapoteza sifa yake na wengine kumwita Bibi Kiroboto) anavyoharibu chombo hiki chenye hadhi kubwa nchini? Uonevu wa wazi wazi kwa wanaopinga interest zake na hatua za kuwafukuza wapinzani kwenye vikao eti kwa sababu ya kusema ukweli bila kutafuna maneno hayaoni? Ushauri wa bure Mheshimiwa Rais, hatuna Speaker Tanzania, chukua hatua anakuabisha sana anaposhindwa kusimamia sheria. Labda ungemwomba Mzee Sita arudi amalizie kipindi hiki kigumu ili kurudisha matuamini ya WAtanzania.

9. Waziri mkuu kusema polisi wapige raia ana maana gani? Tuonaomba umtume nchi zilizoendelea aone jinsi police wanavyofanya hatakama kuna maandamano ya kuipinga serikali. Natumaini umeona huko Brazil kwa mwezi huu uliopita ilivyokuwa. Police wamemwua nani? Nenda nchi kama Italia ambako kuna migomo kila mwezi na maandamano unasikia yanayotoke Tanzania, police kuua raia?

10. Tunakuomba ukae chini na wazee wenye hekima ujadili hali halisi ya nchi yetu. Tunaangamia tukitazama kwa macho. Hiyo ya chadema kusema wanataka kuanzisha Red yao, ilikuwa chanzo cha kuibua haya yote. Mbona kuna Sungusungu ya Mrema, ilikuwa tishiyo. Yote ni kwa sababu polisi wako wameshindwa kufanyakazi yao ipasavyo
tafakari

 
Unajua CHADEMA kimejaa watu makini kweli kweli.....nilikuwa najiuliza sana huyu jamaa aliwezaje kuwa Mwenyekiti wao.....sasa ndiyo kutokana na hotuba hiyo nimeelewa kwa nini...!
BIG UP MWENYEKITI...LIVE LONG OUR CHIEF COMMANDOR!
 
Mhhhh! lol! naona bado unacheza na miguu yote miwili 🙂🙂 Pumzisha mguu mmoja. By the way saa ngapi unapika futari na daku!? Maana kila nikiingia huku nakukuta ukishiriki katika majadiliano mbali mbali. Msalimie gozigozi 🙂🙂

Mfano, nadhani sasa hivi mnakula futari huko nyumbani (kama upo TZ) nilipo ndio kwanza 9:53 AM. na futari ni mpaka 9:50 PM, you can imagine, 12 more hours to go.
 
uongo upi we kinabo unawashwa masabur....n pimbi mkubwa wewe,yote yana mwisho itafahamika mshatudanganya sana tumechoka kuburuzwa.

Naona Mwenyekiti wenu amegeuka kikatuni, maana kapigwa na mabomu na SMG na bastola bado yu hai tu. Imekuwa Toy Story?
 
Back
Top Bottom