FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,776
sema ukweli wako sasa tuone...
Fungua akili yako iliyofungwa utauona.
sema ukweli wako sasa tuone...
FaizaFoxy: Super mama?
Tanzania Daima ni gazeti la UDAKU...
Welcome back Faiza foxy!we missed you
Kwa tuliopoteza ndugu zetu wa damu kwenye tukio analoliongela mbowe na unavyoikejeli stori hii ni insult kubwa sanaa na kuchezaa ngoma ya kikwenu juu ya makaburi ya wahanga wa matukio haya. PLEASE QUITE THE JOKE IS NOT FUNNY!!!! Unatia hasiraa na achaa mipasho this is not the laughing matter!!! Hujapendezwa na mifano yake potezea si lazima uchangie... Do you know the difference between the content and context of the massage??!! Unatotonesha vidonda wakati bado marehemu bado wabichi kabisaa....Bomu smg, bastola. Bado yu hai! imekuwa ni Toy Story.
Kama si uongo ni nini hicho?
Kwa tuliopoteza ndugu zetu wa damu kwenye tukio analoliongela mbowe na unavyoikejeli stori hii ni insult kubwa sanaa na kuchezaa ngoma ya kikwenu juu ya makaburi ya wahanga wa matukio haya. PLEASE QUITE THE JOKE IS NOT FUNNY!!!! Unatia hasiraa na achaa mipasho this is not the laughing matter!!! Hujapendezwa na mifano yake potezea si lazima uchangie... Do you know the difference between the content and context of the massage??!! Unatotonesha vidonda wakati bado marehemu bado wabichi kabisaa....
Hivi vyote hivyo, yeye awe hai? inakuingia akilini? hiyo ni Toy Story. JF huwa wanasema anajitekenya mwenyewe halafu anacheka.
Ishia hapo hapo maana naona wewe mipashooo ni speciality yako na utakesha hapo-hapo mwaka mzima... Kama hivyo vifo anavooongela ni toy story hewalaah mama.... Thanks to computer and internet u can talk shit and insult other peoples pain and suffering and live for another day to talk about it!!!!!! RAMADHAN KARIM
Kama unapenda kifo na kutembea nacho chukua kisu umchinje mwanao na akisha kufa chukua sumu ya panya unywe then kabla hujafa ndio uje ucheze ngoma kwenye kaburi la dada yangu; nitakuwa nakusuburi nikusindikize huko unakokupendaa.. Mimi si mgomvi na naheshimu sanaa watuu hata nisiowajua, but I never tolerate insult... Huwa sitishii mtuu na wala sina muda huo,Wewe usijidai una hasira sana na kuindisha maneno, umesoma Mbowe au uanhorojoka tu. Bila internet wewe utanifanya nini? eboo, nikirudi ntakwambia, kwangu ni Lumumba na Udoe njoo kama mwanamme kweli.
Waliokufa walazwe wanapostahili lakini Mbowe asituletee Toy Story eti kapigwa na mabomu na smg na risasi, hiyo ni Toy Story kama bado yu hai.
Tena ujuwe sisi hatutishwi na kifo, tunatembea nacho, tunakipenda kifo kama vile nyinyi mnavyoyapenda maisha.
Kwahiyo Mbowe hakusema hayo yaliyoripotiwa na Tanzania Daima?
Ama hufahamu maana ya "gazeti la udaku"?
Udaku ni habari zisizo za ukweli,Tanzania Daima limeripoti alichosema Mbowe.
Na pia alichosema Mbowe ni ukweli.Hivyo Mbowe naye si mdaku.
Fikiria kabla ya kubonyeza keyboard.
Kwa hiyo yaliyoandikwa humo ni udaku? nlikuwa nataka kujua source ya hiyo habari... kujua kama ni tanzania daima nimefarijika sana maana ujumbe utawafikia asilimia 95 ya wasomaji wa magazeti maana ndio gazeti linaloongoza kwa kuuzwa...
Bomu smg, bastola. Bado yu hai! imekuwa ni Toy Story.
Kama si uongo ni nini hicho?
Kweli unafikiri kidemu demu..wewe ndio wale hata kutoka mkae vibarazani ktk grill, lazima muombe ruhusa kwa mwanaume yeyyote aliyepo..hata katoto kadogo kenye fikra za kuchungulia wasichana rangiz ao za chupi.
Sasa km bado unaamini mwili wako kila mahali ni uchi "..Yaani km katikati yya miguu." huwei kuwa na akili timamu.Wala huweji tambu akitu..si ajabu hata ubongo wako ni uchi.
Tanzania Daima ni gazeti la UDAKU...