Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,901
- 20,410
Kuliko udaku ulio nao wewe?
ile kazi yako umeachwa lini?
Kuliko udaku ulio nao wewe?
Tanzania Daima ni gazeti la UDAKU...
nakubaliana na wewe ila point yangu ni kuwa wanaposoma huo udaku hawatoki bure ila kuna kitu wanapata, mfano hiyo habari iliyoandikwa kuhusu mkutano wa mbowe huko songea hata kama umeandikwa na gazeti la udaku kama unavyoamini,huoni kwamba msomaji atakuwa keshasoma hotuba yote ya mbowe na kuona ubaya wa serikali?
Laana iwe juu yako!
Tanzania Daima ni gazeti la UDAKU...
Ingekuwa laani zinagawiwa kama karanga!!!
mziki wa Bilicanas au wawapi tena Mkuu. yote yatapita na CCM itabaki madarakani kwa gharama yeyote ile tupo. hakuna hakuna hakuna kama CCM TanzaniaMziki huu hawatauweza hata kidogo
mziki wa Bilicanas au wawapi tena Mkuu. yote yatapita na CCM itabaki madarakani kwa gharama yeyote ile tupo. hakuna hakuna hakuna kama CCM Tanzania
hivi wewe unafikiri mbowe angeuawa kwenye mkutano huo wa kampeni,amani ya nchi ingekuwa hatarini.Fikiria beyond kidogo,usimwangalie mbowe angalia wanaomfuata,acha uvivu wa kufikiri wewe.
Tanzania Daima ni gazeti la UDAKU...
Akili za bavicha hizi!!!
Bibie hujambo? Unameremeta!!!!!!!!!!Uongo mwingine unatia kichefu-chefu. Super hero?
Tanzania Daima ni gazeti la UDAKU...
Uongo mwingine unatia kichefu-chefu. Super hero?