Tanzania Daima ni gazeti la UDAKU...
mziki huu Kinana keshachoka kuucheza.
Lilnaloandika habari za ukweli na kwa uwazi kabisaTanzania Daima ni gazeti la UDAKU...
Tanzania Daima ni gazeti la UDAKU...
Ndio utakapogundua lile bomu alijirushia mwenyewe ili ajipigie promoUongo mwingine unatia kichefu-chefu. Super hero?
zemaproko, kati ya gazeti la Tanzania Daima na Uhuru, lipi ni gazeti la Udaku? Gazeti linaloongelea habari ya CCM tu? Afadhari Tanzania Daima , gazeti linalopendwa na watanzania. Gazeti la uhuru hata wewe hununui? Kwa nini?...Kwa wanafiki kama wewe wasaliti wa nchi kwa pesa ndogo sana ni gazeti la udaku lakini kwa wenye mapenzi ya kweli na nchi yetu tunajua Tanzania Daima si gazeti la udaku. Nenda kasome Uhuru na Mzalendo magazeti ya CCM yanayoandika unafiki kila kukicha.
Mkuu nawe unanichekesha! Hujui kuwa hao jamaa bado wako kizazi cha Analogia? Wao ni mabingwa katika mipasho tuu!
mwambie mwenyekiti wa chama chako ahu2bie bla kusoma kama dkk 5 hivi?UHURU ni gazeti la Vichochoroni
Uongo mwingine unatia kichefu-chefu. Super hero?
Ndio utakapogundua lile bomu alijirushia mwenyewe ili ajipigie promo
uongo mwingine unatia kichefu-chefu. Super hero?
hata nape alisema hivyo na mjomba wako lukuvi akatoa zawadi ya 100m/- kwa atakaye mpata mrushaji!! Ccm bana wote akili zenu kama za snails!!!
hiviii.... Zile mil 100 bado hazijampata muhusika????