Sasa vita mpya CHADEMA, CCM

Sasa vita mpya CHADEMA, CCM

Tanzania Daima ni gazeti la UDAKU...

Inawwzekana kweli ni la udaku lkn kila nikicheki mtaani naona kama watu wanalinunua sana,sasa huku kununuliwa sana maana yake ni kuwa watu wanalisoma sana na wakilisoma sana naamini wanapata kitu kizito mfano hiyo hotuba ya Mbowe......nafikiri msiishie kuliita tu gazeti la udaku pia mfuatilie watu wanalipokea vp?
 
Tanzania Daima ni gazeti la UDAKU...

ZeMarcopolo=Pinda=Mchembe=Nepi=Wassira!

Unachozungumza wewe ndiyo udaku. Jenga hoja ni kipi alichosema Mhe. Mbowe kisichokuwa na ukweli?
Mbona aliyosema yote ni ukweli mtupu wewe? Kwanini unataka kupindisha ukweli kwa faida ya Magamba?

Badilika. If you don't change, changes will swip you away!
 
Inawwzekana kweli ni la udaku lkn kila nikicheki mtaani naona kama watu wanalinunua sana,sasa huku kununuliwa sana maana yake ni kuwa watu wanalisoma sana na wakilisoma sana naamini wanapata kitu kizito mfano hiyo hotuba ya Mbowe......nafikiri msiishie kuliita tu gazeti la udaku pia mfuatilie watu wanalipokea vp?

Magazeti ya udaku jina lake jingine ni magazeti PENDWA. Haya ndio magazeti yanayoongoza kwa kununuliwa. Watu wanapenda zaidi habari za UDAKU. Ndio maana shigongo ametajirika na Tanzania Daima linauzika.
 
FaizaFoxy; Bila shaka yule Mama aliyeuwawa pale Soweto angelikuwa Mama yako basi usingelikuwa na nguvu za kudai alichosema Mhe.Mbowe ni uongo!
 
Last edited by a moderator:
Magazeti ya udaku jina lake jingine ni magazeti PENDWA. Haya ndio magazeti yanayoongoza kwa kununuliwa. Watu wanapenda zaidi habari za UDAKU. Ndio maana shigongo ametajirika na Tanzania Daima linauzika.
nakubaliana na wewe ila point yangu ni kuwa wanaposoma huo udaku hawatoki bure ila kuna kitu wanapata, mfano hiyo habari iliyoandikwa kuhusu mkutano wa mbowe huko songea hata kama umeandikwa na gazeti la udaku kama unavyoamini,huoni kwamba msomaji atakuwa keshasoma hotuba yote ya mbowe na kuona ubaya wa serikali?
 
kuna haja ya kuimarisha red brigade ,kwa sababu ccm wamejiimarisha kama unavyowaona hapa chini
998861_490081497742516_1206258209_n.jpg
 
Hivi Mzee wa Pembe za Ndovu alishaenda Mahakamani?Maana nahisi kama vile zile siku alizotoa kuombwa msamaha na Mchungaji Peter Msigwa zimeshapita!!!??Au ulikuwa mkwara tu?
 
Hivi Lowassa alihudhuria kampeni za EISITE???? Teh teh!
 
Hivi toilet paper uhuru si nasikia limefulia hata mishahara limeshindwa kulipa?laana zitawaua nyie magamba!!
Asante kamanda mkuu wa anga tutawanyuka popote pale iwe mchana au usiku,asubuhi au jioni,inanyesha au kinawaka mpaka watage,weka mbali na tembo anajuta sasa kwa mziki huu!
 
Back
Top Bottom