jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,375
- 25,453
Mwenzenu yupo kazini anaingiza buku saba ninyi mnapoteza rasilimali nguvu kubishana naye? Huyo hastahili hata kujibiwa, anayo haki ya kupuuzwa tu.
Naelewa hilo,lakini unafahamu athari ya uongo kurudiwa mara nyingi?
Kuna shahidi nyingi tu ambapo uongo umerudiwa mara nyingi na ukawa uweli