Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,462
- 29,163
Usongetokwa = Usingetokwa,Yamekuingia, usongetokwa povu.
Sema roho inakuuma unapoona watu wanafanya maendeleo. Hukuanza leo kuwasakama kwenye nyuzi zao. Na hautowaweza.
Huna ulijuwalo.
Anyway, nisije nikaandika zaidi hapa nikajikuta namuharibia uzi huyu rafiki yako kwa ajili ya kubishana na wewe.
Sijasema ni mradi mbaya, wanaotaka watajiunga