Abdul Ghafur
JF-Expert Member
- Sep 18, 2017
- 610
- 733
Hivi uwekezaji wetu una Bima ya Mradi?
Mara baada ya kusajiliwa rasmi tutakuwa na bima ya uwekezaji.
Babu sijaona hiyo project uliyosema inaitwa VIP nieleweshe please sina what app kwa sasa,Nokia Lumia wameshindana deal na whatapp hivyo siwezi kuingia hilo group la whatapp.
Fata hii link: VIP wekeza kihalali kuanzia 10,000