Abdul Ghafur
JF-Expert Member
- Sep 18, 2017
- 610
- 733
Ponzi
"Ponzi scheme" ni utapeli wa kulipa wawekezaji wa zamani kwa mitaji ya wawekezaji wapya.
Miradi yetu hatufanyi hivyo kabisa. Napenda ufahamu kuwa kwa sasa kuna miradi mipya miwili ambayo tunakusanya pesa za kuianziasha, mmoja wapo ni huu wa excavator. Nimekataa kabisa kutumiwa pesa na wote wanaopenda kujiunga na hii miradi mipya mpaka zitimie pesa za kuanzisha miradi kwa ahadi (pledge). Yote ni ku avoid kuchukua pesa za watu kabla ya kuwa na uhakika wa kukamilika mtaji.
Pia tuna miradi ya zamani inayoendelea kwa sasa, tunakukaribisha kuja kujionea. Pesa zinazoingiza hiyo miradi ndizo zinazotumwa kwa wawekezaji wetu.
Hatuna sababu ya kufanya ponzi.