Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,350
PEsa zote Dowans inalipwaaaa
kuna Almashauri juzi tu imepitisha bajeti ya sherehe za kuukaribisha mwaka 2011 wakati mwaka wenyewe umeshazeeka, kwahiyo sishangai serikali kufuria ina matumizi ya hovyo hovyo.
suala la serikali kutokuwa na fedha liko wazi, hata ofisini kwetu chai kwa sasa hakuna, na hata mambo mengine yamefutwa, vinafanyika vitu vya lazima tu.
Juzi kuna Boss mmoja wa ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Kinondoni ameniambia ata Mafuta ya Mashangingi wamepunguziwa liters wanazopewa kwa wiki wanapata Nusu ya wanayotakiwa kupewa kadiri ya Utaratibu.
Nyinyi ndiyo munaolalamika serikali inatumia fedha nyingi kwa chai za ofisini. Leo zimekatwa munalalamika hakuna chai, hebu amueni sasa ifanye nini maana kila upande ni lawama.
Na kwa kweli huko serikalini vitu vingi viko inflated bila ya kiasi - gharama za kila kitu ziko juu sana kuliko kawaida ili watu wapate ka percent kao hapo. Leo hivyo vitu vikianza kukatwa basi na maneno yanakuwepo.
Mimi nina hakika serikali ikiweza kudhibiti matumizi yasiyo ya lazima kwenye taasisi zake basi bajeti itapungua kwa asilimia karibia ya arubaini.
plz think twice!! lack of tea in the govt office does not imply that the govt is having shortage of funds, otherwise stated......
GREAT THINKER!!!! Kutokua na chai maofisini ni dalili za serikali kufulia??? Kazi ipo
Gazeti la MTANZANIA toleo la leo lina habari inatoeleza kuwa Gari la wizara ya maji linashikiliwa katika hoteli ya Landmark, Ubungo baada ya maofisa wa wizara kushindwa kulipa sh.milioni 58!
plz think twice!! lack of tea in the govt office does not imply that the govt is having shortage of funds, otherwise stated......
kumbuka bajeti ya hivyo vitu ilishapita toka mwaka jana, kama wamekata walitakiwa kusema ili tujue hiyo pesa wanaipeleka wapi? lakini kwa sasa chai ni sehemu ya bajeti na kama haipo ni kufulia mkuu