Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,539
- 10,007
Tarehe 1 January ni siku ya kwanza ya roman calendar (Gregory calendar) Haina uhusiano wowote na ukristoUnaonaje tukaiondosha tarehe mosi January?? Ilituwe twawajibika makazini??
Tarehe 1 January ni siku ya kwanza ya roman calendar (Gregory calendar) Haina uhusiano wowote na ukristoUnaonaje tukaiondosha tarehe mosi January?? Ilituwe twawajibika makazini??
Tarehe 30/07/2022Mwaka mpya wa kiislam ni tarehe ipi na mwezi upi kwa kalenda tunayotumia sisi? Vitu vingine, dah acha tu.
Nchi yao,waache wafanye wapendavyoZanzibar inaenda kuwa full Islamized
Mpaka sasa ni rasmi
1. marufu kula mchana Ramadhani,
2.kwenda kuhiji Serikali inalipia,
3. Kujenga makanisa ni marufuku
4.mwaka mpya wa Kiislamu ni public holiday,
nasubiri kusikia Ijumaa na Jumamosi ndio siku za mapumziko, Jumapili watu waende kazini
Na siku wao wakisema mwaka mpya wa kikristo ubakie kwenu musiwapelekee wao mutafurahia?Huu upuuzi wao uishie huko kwao Hangaya asithubutu kutuletea kwetu.
Kinachofuata ni Serikali kutoa ruzuku kwa wenye mke zaidi ya mmoja.Zanzibar inaenda kuwa full Islamized
Mpaka sasa ni rasmi
1. marufu kula mchana Ramadhani,
2.kwenda kuhiji Serikali inalipia,
3. Kujenga makanisa ni marufuku
4.mwaka mpya wa Kiislamu ni public holiday,
nasubiri kusikia Ijumaa na Jumamosi ndio siku za mapumziko, Jumapili watu waende kazini
Katiba ya Tanzania inamruhusu, labda kama una hoja nyingine.Tunatwaliwa na Rais kutoka nchi nyingine!?
Moto uliwaka pale nchi alipokabidhiwa yule PhD holder.Wenzake waliheshimu katiba.sasa hivi ni malufuku kumpa mtu urais kama hajasoma first degree nchini.
SHUKRANSilazima Mufti atangaze kila mwaka. Akitangaza ni kwa kupenda tu yeye mwenyewe. Mbona Kalenda za mwaka ya Kiislamu zimezagaa wala hazikosei.
Fatilia hii:
Mwakani: 2023 AD = 1445 AH
July 20 Thursday
2024 AD = 1446 AH
July 8 Monday
2025 AD = 1447 AH
June 27 Friday
2026 AD = 1448 AH
June 17 Wednesday
Wewe ukipumzika unakila bats Sisi tukipata Mapumziko tunaenda kulima,kuvua,kuangalia mifugo yetu,kuangalia wagonjwa muhimu NI kwamba nisehemu ya kujiongezea kipato chetuYaani kupumzika na kula bata ni Swala la kupongeza?Lina leta tija gani?ajira,ustawi wa jamii!?kukuwa uchumi!?
Wanotupa misaada mivitu ya kijinga kama hii,hawafsnyi! Sie ndio kwanza tumeikumbatia!!!tukiamini ndio itatufikisha ahera!!!lost race
Kwa hiyo Tanzania ni nchi na Zanzibar ni nchi, kwa hiyo Samia ni raia wa nchi mbili?Katiba ya Tanzania inamruhusu, labda kama una hoja nyingine.
Kila Mzanzibar ni Mtanzania, lakini si kila Mtanzania ni Mzanzibar.Kwa hiyo Tanzania ni nchi na Zanzibar ni nchi, kwa hiyo Samia ni raia wa nchi mbili?
Memkwa inatoka wapi tena sheikhKila Mzanzibar ni Mtanzania, lakini si kila Mtanzania ni Mzanzibar.
Kama una elimu ya MEMKWA huwezi kuelewa
Nimeamini Dr Mwinyi kisha kosa ushawishi wa kisiasa.Hatimae Rais wa Zanzibar amepitimiza ahadi yake aliyotoa HIVI karibu wakati WA hafla ya kuukaribisha mwaka mpya wa Kiislam HIJRIYYA Kwamba Serikali imo katika mchakato wakuifany Siku ya Mwaka mpya wa Kiislam kuwa siku ya mapumziko Sawa na mwaka mpya wa Miladiya
Akitangaza Leo tarehe 5/8 katika Msikiti Quba uliopo Kwa Boko mjini hapa ametangaza Rasimi kwamba Serikali imeridhia kuifanya siku hiyo kuwa na ya Mapumziko kama ulivyo Ile ya Miladia ambapo siku ya tarehe mosi ya kila mwaka NI Mapumziko
Hivyo Rasmin kila tareha 1 MUHARRAM ya kila mwaka itakua ni siku ya Mapumziko
HONGERA DR MWINYI
HONGERA OFISI YA MUFTI
HONGERA WAZANZIBARI
Bara mtafanya badala yao. Kanikumbusha baba yake si ndio aliepumzisha watu jumamosi iwe mapumziko, nadhani kiserikali bado ipo hivyo.Mambo ya kijinga kabisa haya. Badala waongeze siku za kufanya kazi wanazipunguza. Hata kwa madawa na chakula tu hawajitoshelezi halafu bado wanataka wale bata.
Wewe sio Muislamu huwezi elewasijavielewa
Si kweli alichofanga Baba yake nikulipiza Mapumziko mfano yakiangukia mwisho WA wiki basi mnalipwa Mapumziko yenu siku ya KAZI( Jumatatu)Bara mtafanya badala yao. Kanikumbusha baba yake si ndio aliepumzisha watu jumamosi iwe mapumziko, nadhani kiserikali bado ipo hivyo.
We kumbuka vizuri, kama ulikuwa dogo uliza vizuriSi kweli alichofanga Baba yake nikulipiza Mapumziko mfano yakiangukia mwisho WA wiki basi mnalipwa Mapumziko yenu siku ya KAZI( Jumatatu)
Hiyo ni tarehe ngapi na mwezi gani kwa kalenda ya kawaida?Hivyo Rasmin kila tareha 1 MUHARRAM ya kila mwaka itakua ni siku ya Mapumziko
kila mtu analinda ugali wakeMambo ya kijinga kabisa haya. Badala waongeze siku za kufanya kazi wanazipunguza. Hata kwa madawa na chakula tu hawajitoshelezi halafu bado wanataka wale bata.