#MANG 'ULA naye anajiingiza ktk UOZO na UCHAFU na UHUNI HUU! TOBA ~I~ LLAH!/Jana viongoz wa ccm waliwaita baadhi ya wajumbe wa kamati ya PAC kuwashawishi na kuwaomba kuwa wasisitize ripoti hiyo isiingie bungeni.
Waliokuwapo ktk kamati hiyo ni Maswi,Muhongo,naibu katibu mkuu Mangula.....more to come
Jana viongoz wa ccm waliwaita baadhi ya wajumbe wa kamati ya PAC kuwashawishi na kuwaomba kuwa wasisitize ripoti hiyo isiingie bungeni.
Waliokuwapo ktk kamati hiyo ni Maswi,Muhongo,naibu katibu mkuu Mangula.....more to come
Jana viongoz wa ccm waliwaita baadhi ya wajumbe wa kamati ya PAC kuwashawishi na kuwaomba kuwa wasisitize ripoti hiyo isiingie bungeni.
Waliokuwapo ktk kamati hiyo ni Maswi,Muhongo,naibu katibu mkuu Mangula.....more to come
hao viongozi wa ccm wametumwa na nani kama nao sio mafisadi. wakome..wala hawakitakia chama heri. vijana nchemba zambi fanyeni mapimduzi. taifisheni iptl kamateni wezi na kuwanyang'anya mali waliyoiba yote. funga jela majizi wote. tifueni mzizi.Jana viongoz wa ccm waliwaita baadhi ya wajumbe wa kamati ya PAC kuwashawishi na kuwaomba kuwa wasisitize ripoti hiyo isiingie bungeni.
Waliokuwapo ktk kamati hiyo ni Maswi,Muhongo,naibu katibu mkuu Mangula.....more to come
Mangula yupo dar unazungumzia mangula yupi.Jana viongoz wa ccm waliwaita baadhi ya wajumbe wa kamati ya PAC kuwashawishi na kuwaomba kuwa wasisitize ripoti hiyo isiingie bungeni.
Waliokuwapo ktk kamati hiyo ni Maswi,Muhongo,naibu katibu mkuu Mangula.....more to come
Haiwezekani huu ni mpango wa kuwatoa viongozi kafara na mwigulu amesema wote wakamatwe wafilisiwe na kufungwa wafungwe,chezea mwigulu wewe.haponi mtu hapo
Moderator, tafadhali rekebisha lugha ya uzi huu.Jana viongozi wa CCM waliwaita baadhi ya wajumbe wa kamati ya PAC kuwashawishi na kuwaomba kuwa wasisitize ripoti hiyo isiingie bungeni.
Waliokuwapo ktk kamati hiyo ni Maswi,Muhongo,naibu katibu mkuu Mangula.
More to come...
Too late kuvua nguo ya ndani wakati tayari umeshajisaidia suluhisho hapo ni kuvua na kufua.