5523
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 2,290
- 2,430
Too late kuvua nguo ya ndani wakati tayari umeshajisaidia suluhisho hapo ni kuvua na kufua.
mbavu zangu jamaniiiii ........... escrow tutasikia na kusoma maneno mengi ya ajabu ajabu
Too late kuvua nguo ya ndani wakati tayari umeshajisaidia suluhisho hapo ni kuvua na kufua.
Jana viongozi wa CCM waliwaita baadhi ya wajumbe wa kamati ya PAC kuwashawishi na kuwaomba kuwa wasisitize ripoti hiyo isiingie bungeni.
Waliokuwapo ktk kamati hiyo ni Maswi,Muhongo,naibu katibu mkuu Mangula.
More to come...
acha uongo!
Jana viongozi wa CCM waliwaita baadhi ya wajumbe wa kamati ya PAC kuwashawishi na kuwaomba kuwa wasisitize ripoti hiyo isiingie bungeni.
Waliokuwapo ktk kamati hiyo ni Maswi,Muhongo,naibu katibu mkuu Mangula.
More to come...