MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,481
- 20,423
Leo nimenunua sufuria moja dogo kwa shilingi 2000 na bei ya unga mtaani kwangu kwa kilo ni sh 2200.
Kwa lugha nyepesi ni rahisi kula masufuria na mboga kuliko kula ugali na mboga.
Yapi maoni yenu wakuu.
Kwa lugha nyepesi ni rahisi kula masufuria na mboga kuliko kula ugali na mboga.
Yapi maoni yenu wakuu.