Ronal Reagan
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,299
- 3,055
Uzuri ni kwamba Kikwete amewafundisha watanzania kufikiria mara mbili kabla ya kupata mpangaji wa magogoni. sio kila mtu anaweza kuwa rais.
Rais anatakiwa kuwa mtu tough mwenye upeo mkubwa wa kuona mambo, mwenye authority na ambaye akisema watu wote wanamsikiliza. Uraisi haitaki ubia kama wa JK, kila maamuzi makubwa lazima ufuate wabia wako.
Kwa manaa hii, hata kama baraza la mawaziri likivunjwa, kuna mpya? atapata wapi watu wapya wa kuleta mabadiliko? Watu kama hao wapo CCM? Na ni wazi kwamba hawezi kuteua mawaziri kutoka upinzani.
Watanzania tuna sifa ya amani na utulivu. Sifa hii ndio imeleta yote haya. Tumekuwa taifa la kuridhika na kila kitu, hatuwezi ku struggle, kupinga serikali na kuonyesha malalamiko na kutoridhika kwetu. Kama huamini, angalia hali ya maisha ilivyo ngumu na watu bado wamekaa kimya. kwa maana hiyo, wananchi hawawezi kuwa na option ya kushinikiza.
The last and viable option ni 2015.
Mkuu,
Very well said. CCM sio option kwa vyovyote vile kulingana changamoto tete zinazokabili nchi hii kwa sasa.
Nimeipenda kwa vile sasa wananchi watakuwa wanatumia akili zao vizuri kufikiri, kuchambua na kuchangua.
Lakini kati ya sasa na Octoba 2015 kuna mwendo! If there's better solution b4 then I will meditate it.