Mr Dumila
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 272
- 537
Habari wanabodi naandika hapa nikiwa Na masikitiko makubwa Na huyu Waziri aliyepewa wizara nyeti kabisa
Kwanza niweke wazi sijawahi mchukia Ila niliamini ni Waziri mzuri kutokana alivyofanya mambo mazuri akiwa Waziri wa Mazingira .
Ila toka amepewa wizara ya Nishati madudu yamekuwa makubwa zaidi haswa upandaji wa mafuta huku akijisifu kupunguza kodi wakati mafuta yanapanda
Sasa Hili suala la umeme ndio limenifanya nimuone Waziri wa hovyo kuwahi kutokea sababu umeme umekuwa unakatika saana haswa Sisi wa mikoani kuwahi kutokea toka miaka 60 ya uhuru
Hali ya kuwa alitupa siku 10 suala la mgao Na ukatikaji wa umeme wa hovyo utakuwa umepungua kwa kiasi kikubwa kama si kuisha. Ila cha ajabu ndio Kwanza spidi imeongezeka
Mfano hapa Dumila iliyopo Kilosa mkoa wa Morogoro yaani umeme unaweza katika hata Wiki mfululizo Na Tanesco Wapo Tu hata ukilalamika Hakuna lolote Na huku mtandaoni nimelalamika vya kutosha wanaishia kukuona takataka Na hata wakikujibu wanakwambia tunafanyia Kazi Ila hakuna lolote lile zaidi ya meseji zao za kukop na kupaste
Sasa binafsi naona kabisa hii wizara imemshinda Na haswa aliposema bungeni kuwa Waziri Kalemani alipewa miaka minne ndipo akafanya vizur hivyo naye tumpe Muda HIVI ANAJIELEWA KWELI?
Kwa nini asingeendelea mwenzake alipoishia au Na yeye kaanza upya ili tuamiani ile dhana ya Mzee wa 10%
MAKAMBA HII WIZARA IMESHAKUSHINDA IACHE KWA AMANI KABLA HAIJAKUHARIBIA ZAIDI ila yote Kwa yote TANESCO Rudisheni umeme Dumila
Kwanza niweke wazi sijawahi mchukia Ila niliamini ni Waziri mzuri kutokana alivyofanya mambo mazuri akiwa Waziri wa Mazingira .
Ila toka amepewa wizara ya Nishati madudu yamekuwa makubwa zaidi haswa upandaji wa mafuta huku akijisifu kupunguza kodi wakati mafuta yanapanda
Sasa Hili suala la umeme ndio limenifanya nimuone Waziri wa hovyo kuwahi kutokea sababu umeme umekuwa unakatika saana haswa Sisi wa mikoani kuwahi kutokea toka miaka 60 ya uhuru
Hali ya kuwa alitupa siku 10 suala la mgao Na ukatikaji wa umeme wa hovyo utakuwa umepungua kwa kiasi kikubwa kama si kuisha. Ila cha ajabu ndio Kwanza spidi imeongezeka
Mfano hapa Dumila iliyopo Kilosa mkoa wa Morogoro yaani umeme unaweza katika hata Wiki mfululizo Na Tanesco Wapo Tu hata ukilalamika Hakuna lolote Na huku mtandaoni nimelalamika vya kutosha wanaishia kukuona takataka Na hata wakikujibu wanakwambia tunafanyia Kazi Ila hakuna lolote lile zaidi ya meseji zao za kukop na kupaste
Sasa binafsi naona kabisa hii wizara imemshinda Na haswa aliposema bungeni kuwa Waziri Kalemani alipewa miaka minne ndipo akafanya vizur hivyo naye tumpe Muda HIVI ANAJIELEWA KWELI?
Kwa nini asingeendelea mwenzake alipoishia au Na yeye kaanza upya ili tuamiani ile dhana ya Mzee wa 10%
MAKAMBA HII WIZARA IMESHAKUSHINDA IACHE KWA AMANI KABLA HAIJAKUHARIBIA ZAIDI ila yote Kwa yote TANESCO Rudisheni umeme Dumila