Sasa narudi bongo na ndinga kali!!..mbebez wakarez mjiandae!!

Sasa narudi bongo na ndinga kali!!..mbebez wakarez mjiandae!!

naanza kwa kutuma ombi maridhawa kwa mods wanipe uhuru wakushusha lugha zakunipa ban.japo kwa nusu saa tu nimshambulie huyu mbezi sijui mbebez aliyefukuzwa marekani kwa kutaka kuvunja ndoa ya Obama..

Hahahahaaahaaaa yani umeifanya siku yangu iishe vizuri uwiiiiiiiii😀
 
Bandugu wote wa jf napenda kuwataarifu kuwa dr.holygrail anarudi bala la giza!!

Nimekaa sana mbelez you know!! Mbebez wa huku ni super viwangoz you know!! Mara ya mwisho kuja bara la giza ilikuwa miaka 14 iliyopita.

Kipindi hicho mbebez wa tz had true love you know!! Ila sasa nasikia mbebez ni ze majangazz!!...i heard tht if you have a car then all super mbebez are yours!!

Sasa warembo mimi nakuja na ndinga zangu mbili kali sana!!...infact mi mutu ya raha asee!!...najua ntawatafuna sana!

Vilaza wote wenye mbebez wa ukwee mjue watawaacha!!...kwanza mijanamume ya bongo maskini sana halafu mivivu ya kazi!!...kwahyo mjipange sana you know!!

Dr.holygrail
mailmore, e95
enderby
UK.

Walevi wengi.
 
hahaha... kingasti upo kam zis wei mbebez...dr. karudi tena kivingibe.Hivi huyu si aliwaponda "mbebez wa bongo wana vitambi...leo anawataka tena.:majani7: hii kitu nzuri sana. Sasa dr. unafuata nini huku gizani? kwa taarifa yako huku zipo ndani kali mbaya sana angalia usijeaibika
 
Last edited by a moderator:
Dah...Yaani umpeleke sehemu nzuri hivyo!! huyu anafaa kupelekwa mitaa ya airtel/ttcl
utakuja arusha?nitakuandalia mbebez za ukweli watoto wa maeneo ya uzunguni kunaitwa shivaz nitakuletea hotelini kabisa mbebez moja nakuchaji dola 10!uko tayari?
 
Mwenye picha tafadhali

Z
 
Ukimwi nao unakusubiri kwa hamu Mnyamwezi wetu...ila nina wasiwasi na wewe usije ukawa huko kwa David Cameron upo kama mke wa mtu, ndio maana wamekupa msaada wa hizo ndinga. Oveeeeerrrr
 
huyu hamnazo ingekuwa zamani ningetukana balaa tabu umri nao unanifanya niwe mvumilivu
lakini kwa kifupi sana mtu huyu anaonekana hata akija maisha ya hapa kwetu yatamshinda, hawezi kuwa na network ya maana kwa kifupi bado mshamba sana.
bado anawaza mawazo ambayo hata watoto wa form two hawako hivyo hivi leo, anadharau kwao na haoni kama katika miaka 14 tumepiga hatua kwa kiasi gani
hatukatazi starehe, lakin watanzania wamebadilika sana sio watu wa kupenda bure kama anavyofikiri pia sio watu wa kubabaikia watu waliotoka majuu kivileeee!
wanapenda zaidi kuheshimiwa sikatai atwapata anaofanana nao lakina hawana future nao
mtu huyu kula kila uwezekanavyo kuwa aliishi maisha ya shida utotoni na hajawahi kupata nafasi ya kuwa na maisha mazuri.
karibu na vipesa vyako vya luku unit zikiisha hata hapa utakuwa hutokei
 
Bandugu wote wa jf napenda kuwataarifu kuwa dr.holygrail anarudi bala la giza!! Nimekaa sana mbelez you know!! Mbebez wa huku ni super viwangoz you know!! Mara ya mwisho kuja bara la giza ilikuwa miaka 14 iliyopita. Kipindi hicho mbebez wa tz had true love you know!! Ila sasa nasikia mbebez ni ze majangazz!!...i heard tht if you have a car then all super mbebez are yours!! Sasa warembo mimi nakuja na ndinga zangu mbili kali sana!!...infact mi mutu ya raha asee!!...najua ntawatafuna sana! Vilaza wote wenye mbebez wa ukwee mjue watawaacha!!...kwanza mijanamume ya bongo maskini sana halafu mivivu ya kazi!!...kwahyo mjipange sana you know!! Dr.holygrail mailmore, e95 enderby UK.
i think u smoke those hard staffs, PUNGUZA BANGE ZA KUVUTIA CHOONI WEWE M.WEHU MKUBWA,NDIO HATUENDELEI HAPA BONGO,
 
Bandugu wote wa jf napenda kuwataarifu kuwa dr.holygrail anarudi bala la giza!!

Nimekaa sana mbelez you know!! Mbebez wa huku ni super viwangoz you know!! Mara ya mwisho kuja bara la giza ilikuwa miaka 14 iliyopita.

Kipindi hicho mbebez wa tz had true love you know!! Ila sasa nasikia mbebez ni ze majangazz!!...i heard tht if you have a car then all super mbebez are yours!!

Sasa warembo mimi nakuja na ndinga zangu mbili kali sana!!...infact mi mutu ya raha asee!!...najua ntawatafuna sana!

Vilaza wote wenye mbebez wa ukwee mjue watawaacha!!...kwanza mijanamume ya bongo maskini sana halafu mivivu ya kazi!!...kwahyo mjipange sana you know!!

Dr.holygrail
mailmore, e95
enderby
UK.

Kama huna cha kuandika, nyamaza kimya. Msituletee mada za kipuuzi kama hii. Narudia, hii tabia ikome mara moja.Ningelikuwa modereta, ningelikufungia kifungo cha maisha.
 
Dah...Yaani umpeleke sehemu nzuri hivyo!! huyu anafaa kupelekwa mitaa ya airtel/ttcl

mi namkusanyia wadada poa wa bei rahisi hata hapo airtel nitapita namkusanyia namdanganya ni watoto safi wa njiro ppf,nakusanya paundi 23 kila mmoja namuachia aseme na virus ndio atajua kuwa hili ni bara la giza,lazima nimuingize gizani!nyambafu zake!eti mbebez!jamaa sijui ni chizi yule!
 
ila hii thread inachekesha sana!jamaa anavyoweka zzz zzzz kwenye maneno yake burudani tosha....mbebez,viwangoz,majangaz duh nacheka kwelikweli,kuna demu mmoja anaitwa MAVU nitamuunganisha naye sasa sijui atamuitaje na tabia yake ya kuongeza Z mbele!
 
Lina akili za kwendea choon 2,

wala msilishangae jaman ni limento.
 
Back
Top Bottom