Sasa narudi bongo na ndinga kali!!..mbebez wakarez mjiandae!!

Sasa narudi bongo na ndinga kali!!..mbebez wakarez mjiandae!!

Yahani we mtoto natamani nikutukanie mama ako..mpk ukirudi nyumbani hautampa shikamoo...inaonekana amekulea kishoga shoga mpk umefikia hatua ya kuvuka mpaka nakutuletea ubwabwa wako...
Aisse mods tupeni free time hata dk 5 tumdiscipline huyu dogo maana hawa watoto wa form IV wanaosubiri selection wamevamia JF..swine kabisa..
 
ndg holygrail nimejaribu kutumia maarifa yangu kufatilia IP address yako,nimegundua haupo ulaya.acha kupagawisha dada zangu wa kibongo bhana.lol
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha....MC huo ni msamiati Mpya tumepata kutoka kwa dr...."mbebez"
ila hii thread inachekesha sana!jamaa anavyoweka zzz zzzz kwenye maneno yake burudani tosha....mbebez,viwangoz,majangaz duh nacheka kwelikweli,kuna demu mmoja anaitwa MAVU nitamuunganisha naye sasa sijui atamuitaje na tabia yake ya kuongeza Z mbele!
 
mi namkusanyia wadada poa wa bei rahisi hata hapo airtel nitapita namkusanyia namdanganya ni watoto safi wa njiro ppf,nakusanya paundi 23 kila mmoja namuachia aseme na virus ndio atajua kuwa hili ni bara la giza,lazima nimuingize gizani!nyambafu zake!eti mbebez!jamaa sijui ni chizi yule!

aisee mkuu umenivunja mbavu sio siri.unanikumbusha yule chalii aliye igiza ktk video ya wimbo wa "mdananda" ya mwanamzilki wa bongofleva shetta.
 
kweli mods mnakazi kwa post kama hizi. aya poleni sana na kazi.
 
Bandugu wote wa jf napenda kuwataarifu kuwa dr.holygrail anarudi bala la giza!!

Nimekaa sana mbelez you know!! Mbebez wa huku ni super viwangoz you know!! Mara ya mwisho kuja bara la giza ilikuwa miaka 14 iliyopita.

Kipindi hicho mbebez wa tz had true love you know!! Ila sasa nasikia mbebez ni ze majangazz!!...i heard tht if you have a car then all super mbebez are yours!!

Sasa warembo mimi nakuja na ndinga zangu mbili kali sana!!...infact mi mutu ya raha asee!!...najua ntawatafuna sana!

Vilaza wote wenye mbebez wa ukwee mjue watawaacha!!...kwanza mijanamume ya bongo maskini sana halafu mivivu ya kazi!!...kwahyo mjipange sana you know!!

Dr.holygrail
mailmore, e95
enderby
UK.
Mkuu ukirudi utalia mwenyewe, gari si dili hapa Bongo.
Sijui utalipaki wapi
Firkiria kununua nyumba kali ili uheshimiwe.
 
kwa sababu watu wenye vitu hivyo hawa behave ivyo it seems jamaa ni limbukeni sana!

Precisely why you should not take this person seriously.

At this rate, ukitaka kumchukulia huyu seriously, unaweza kujikuta unakifurahisha kitoto cha miaka 12 ambacho hakina kazi na kina mtandao, kimeamua kuuchezea tu na kuangalia watu watasemaje.
 
Precisely why you should not take this person seriously.

At this rate, ukitaka kumchukulia huyu seriously, unaweza kujikuta unakifurahisha kitoto cha miaka 12 ambacho hakina kazi na kina mtandao, kimeamua kuuchezea tu na kuangalia watu watasemaje.

I kinda get this holygrail guy. He knows how to enjoy people while they get worked up for no reason really.
Sociopath....
 
Njoo uliwe kiboga ***** zako

OMG!...kumbe bara la giza bado hamjabadilika kabisa!!...kumbe wivu unawasumbua you know!!...mbebez wote super viwangoz nakuja kuwachukua!!...sitaki ze vitambiz mbebez kama wewe you know!!
 
Dr.holygrail ntakutafutia mbebez za kufa mtu hapa mjini daslamu ila kila mbebez weka 30€
 
I kinda get this holygrail guy. He knows how to enjoy people while they get worked up for no reason really.
Sociopath....

me nshomile you know!!...made in hayaland!!..where i come from kwenda na kuishi ulaya is like kwenda the so called kariakoo from buruguni!...
 
Dr.holygrail ntakutafutia mbebez za kufa mtu hapa mjini daslamu ila kila mbebez weka 30€

how great are you jamani!!...dr.holygrail rweyemamu can pay you as you wish!...but im afraid if there'z any mbebez in dar worth that much!...
 
Back
Top Bottom