Sasa narudi bongo na ndinga kali!!..mbebez wakarez mjiandae!!

Sasa narudi bongo na ndinga kali!!..mbebez wakarez mjiandae!!

Bandugu wote wa jf napenda kuwataarifu kuwa dr.holygrail anarudi bala la giza!!

Nimekaa sana mbelez you know!! Mbebez wa huku ni super viwangoz you know!! Mara ya mwisho kuja bara la giza ilikuwa miaka 14 iliyopita.

Kipindi hicho mbebez wa tz had true love you know!! Ila sasa nasikia mbebez ni ze majangazz!!...i heard tht if you have a car then all super mbebez are yours!!

Sasa warembo mimi nakuja na ndinga zangu mbili kali sana!!...infact mi mutu ya raha asee!!...najua ntawatafuna sana!

Vilaza wote wenye mbebez wa ukwee mjue watawaacha!!...kwanza mijanamume ya bongo maskini sana halafu mivivu ya kazi!!...kwahyo mjipange sana you know!!

Dr.holygrail
mailmore, e95
enderby
UK.
Weka picha!!
 
mkuu jiandaye kuunganishwa kwenye grid ya umeme wa taifa ,kwa mbwembwe zako hizo sijui kama watakosa kukuunganisha kwenye miwaya mikubwa ile ya ubungo
 
Bandugu wote wa jf napenda kuwataarifu kuwa dr.holygrail anarudi bala la giza!!

Nimekaa sana mbelez you know!! Mbebez wa huku ni super viwangoz you know!! Mara ya mwisho kuja bara la giza ilikuwa miaka 14 iliyopita.

Kipindi hicho mbebez wa tz had true love you know!! Ila sasa nasikia mbebez ni ze majangazz!!...i heard tht if you have a car then all super mbebez are yours!!

Sasa warembo mimi nakuja na ndinga zangu mbili kali sana!!...infact mi mutu ya raha asee!!...najua ntawatafuna sana!

Vilaza wote wenye mbebez wa ukwee mjue watawaacha!!...kwanza mijanamume ya bongo maskini sana halafu mivivu ya kazi!!...kwahyo mjipange sana you know!!

Dr.holygrail
mailmore, e95
enderby
UK.


Jamani mod tupeni muda kidogo tumshambulie huyu shoga
 
Mkuu ukirudi utalia mwenyewe, gari si dili hapa Bongo.
Sijui utalipaki wapi
Firkiria kununua nyumba kali ili uheshimiwe.
Mkuu mwambie aje kwetu Mbezi beach mitaa ya asubuhi na jioni aone wazee wa mujini na wadada wa mujini wakisukuma ndinga kali. Vigari vyake vya nyongeza akavijaribie kijijini labda watashtuka, Bongo Dsm kupata demu mkali shurti kuwa na nyumba kali na gari kali.
 
hata wewe ukinipa no. Yako siyo mbaya!!..

Karibu Tanzania........

yoko-ono-mens-clothing-collection-main__oPt.jpg
 
mkuu jiandaye kuunganishwa kwenye grid ya umeme wa taifa ,kwa mbwembwe zako hizo sijui kama watakosa kukuunganisha kwenye miwaya mikubwa ile ya ubungo
Ngoja tutamuongezea na ile ya Kakobe 200,000Kvolt
 
Bandugu wote wa jf napenda kuwataarifu kuwa dr.holygrail anarudi bala la giza!!

Nimekaa sana mbelez you know!! Mbebez wa huku ni super viwangoz you know!! Mara ya mwisho kuja bara la giza ilikuwa miaka 14 iliyopita.

Kipindi hicho mbebez wa tz had true love you know!! Ila sasa nasikia mbebez ni ze majangazz!!...i heard tht if you have a car then all super mbebez are yours!!

Sasa warembo mimi nakuja na ndinga zangu mbili kali sana!!...infact mi mutu ya raha asee!!...najua ntawatafuna sana!

Vilaza wote wenye mbebez wa ukwee mjue watawaacha!!...kwanza mijanamume ya bongo maskini sana halafu mivivu ya kazi!!...kwahyo mjipange sana you know!!

Dr.holygrail
mailmore, e95
enderby
UK.

We holygrail egnesm komamalamaku huko ulaya rwafimeu mpaka ndumku limelia pyuuuuuuuu. Unataka kuja kutuuzia huku tumekushtukia.
 
We holygrail egnesm komamalamaku huko ulaya rwafimeu mpaka ndumku limelia pyuuuuuuuu. Unataka kuja kutuuzia huku tumekushtukia.

hahahahahah!...watu wa bara la giza utawajua tu!...yaani ni super chengazz you know!!...
 
Back
Top Bottom