kaka si bora utulie miaka 30 huna chama ..... waachie wenyewe
Labda jaribu kupitia Tovuti ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) inaweza kuwa na maelekezo mazuri. Ukishindwa piga simu hizi za Mnyika 0754694553, 0784222222 atakujuza. Karibu Chadema mimi baada ya kukaa nje nikikipenda Chama hatimaye mwaka jana niliamua kujiunga baada ya kumsikia Mbowe akimwaga sera kwenye operation Sangara. Tulikuwa wengi tuliochukua kadi na tulipewa na Mbowe mwenyewe.safi kabisa,naomba unijulishe dar ofisi zao ziko wapi ili nikifika tu,kesho yake naenda kukamata kadi na kuwa mwanachana hai,nitaanza kampeni kijijini kwetu mwakani kwa ajili ya 2015.Watakoma sana Chama Cha Majambazi/mafisadi
Labda jaribu kupitia Tovuti ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) inaweza kuwa na maelekezo mazuri. Ukishindwa piga simu hizi za Mnyika 0754694553, 0784222222 atakujuza. Karibu Chadema mimi baada ya kukaa nje nikikipenda Chama hatimaye mwaka jana niliamua kujiunga baada ya kumsikia Mbowe akimwaga sera kwenye operation Sangara. Tulikuwa wengi tuliochukua kadi na tulipewa na Mbowe mwenyewe.
My pleasure.Thanks.