Kipenzi Chao
Member
- Oct 12, 2010
- 99
- 4
Tutafutane tuunganishe nguvu hii...! Nami natamani kupata support ya kuunganisha nguvu ili tuing'oe kisiki fulani, bado naogopa kukitaja lakini lazima niombee kwa Mungu na kuiwekea mikakati hiyo...! Please, I need your support especially to convince women...!mimi nimeshajiunga uanachama wa CHADEMA na nimehamasisha wamama wengine kama 4 na wameshajiunga tuko A towm maeneo ya kijenge na sitaishia hapo wandugu zangu huko mto wa mbu ndio wananisikitisha sana wanamuona EL kama mungu fulani hivi na huko nako nitaanza za chini chini mpaka kieleweke.