Hakuna kuandikiwa maisha,unapozaliwa unapewa karatsi jeupe tupu likiwa halina maandishi,maandishi unayaweka wewe.Kila mtu ana namna vile kaandikiwa, ni vile tu tunatamani maisha ya wengine, na hapo ni moja ya sehemu tunapofeli.
Hakuna kuandikiwa maisha,unapozaliwa unapewa karatsi jeupe tupu likiwa halina maandishi,maandishi unayaweka wewe.Kila mtu ana namna vile kaandikiwa, ni vile tu tunatamani maisha ya wengine, na hapo ni moja ya sehemu tunapofeli.
Sahihi,lazima ujitume na kuwa na malengo kwa wakati sahihi.Smart work beats talanta mzee, una weza ukawa na talanta ila bila ya passion, consistency, hard work hamna kitu.
Find out what works for you!
Machizi je?!Hakuna kuandikiwa maisha,unapozaliwa unapewa karatsi jeupe tupu likiwa halina maandishi,maandishi unayaweka wewe.
nao wanaandika yao,kulala jalalani,kuokota makopo nkMachizi je?!
kweli hujui kabisa, ukiwa vitani jifunze kujua ubora na udhaifu wako.Biashara Zinaweza kufeli.
Kazi unaweza fukuzwa (Rejea vyeti feki).
Hivo solution ni kupita na kila fursa ilioko mbele yako, kwa kuamini kua Tomorrow is not guaranted
Nataka kazi ya kupata ujuzi wa nilichosomeaNenda njombe kule kazi utazikimbia
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀Baada ya kushauriwa na wana kwamba ukitaka kufanikiwa jiajiri.
Basi nikaacha kazi nikauza nyumba kuanza kuwekeza kwenye biashara.
Kilichofuata. Tusidanganyane ngoja niendelee kutumwa maisha yenyewe haya haya.
Nb sio kila binadamu kazaliwa kuwa tajiri wengine tumeubwa kutumwa using'ang'anize mambo
Utajipotezea muda.
Sawa boss, ila kuna nyakati utakuja kugundua ni nani aandikaye.Hakuna kuandikiwa maisha,unapozaliwa unapewa karatsi jeupe tupu likiwa halina maandishi,maandishi unayaweka wewe.
Kina ndalichako wangeacha ubunge wajiajiriUlijichanganya tuu Mkuu,kujiajiri ndio mpango wa maana kiukweli!
Uko sw me nawaambia watu mpk matumizi ya pesa zangu mtu asiniulize mbona unatumia sn rough kwani zakoMimi sijawahi kusikiliza au kufuata ushauri wa mtu. Maisha yangu ni jukumu langu.
Uneshauriwa kuacha kazi, na ukauza na kibanda!, hapa umezingua mkuu.Baada ya kushauriwa na wana kwamba ukitaka kufanikiwa jiajiri.
Basi nikaacha kazi nikauza nyumba kuanza kuwekeza kwenye biashara.
Kilichofuata. Tusidanganyane ngoja niendelee kutumwa maisha yenyewe haya haya.
Nb sio kila binadamu kazaliwa kuwa tajiri wengine tumeubwa kutumwa using'ang'anize mambo
Utajipotezea muda.
Ndio wamejiajiri, maana alikuwa lecturer!Kina ndalichako wangeacha ubunge wajiajiri
😂😂😂Ndio wamejiajiri, maana alikuwa lecturer!
Ingekua passion, consistency, and hard work makonda wa dala dala, mafundi ujenzi na mama ntilie wangekua wako na wealth maana ndiyo wanafanya kazi hivyo.Smart work beats talanta mzee, una weza ukawa na talanta ila bila ya passion, consistency, hard work hamna kitu.
Find out what works for you!
Nikwambie kitu Mimi ni the next billionaire kwenye safari za kuwa Fanya BINADAMU WENZANGU WAWE MATAJIRII NIMESHIRIKI SANAAAAAABaada ya kushauriwa na wana kwamba ukitaka kufanikiwa jiajiri.
Basi nikaacha kazi nikauza nyumba kuanza kuwekeza kwenye biashara.
Kilichofuata. Tusidanganyane ngoja niendelee kutumwa maisha yenyewe haya haya.
Nb sio kila binadamu kazaliwa kuwa tajiri wengine tumeubwa kutumwa using'ang'anize mambo
Utajipotezea muda.