Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 40,539
- 69,466
Ndio Maana RC Paul Makonda anaajiriwa sio kwamba hajui kama Mwijaku amejiajiri.Baada ya kushauriwa na wana kwamba ukitaka kufanikiwa jiajiri.
Basi nikaacha kazi nikauza nyumba kuanza kuwekeza kwenye biashara.
Kilichofuata. Tusidanganyane ngoja niendelee kutumwa maisha yenyewe haya haya.
Nb sio kila binadamu kazaliwa kuwa tajiri wengine tumeubwa kutumwa using'ang'anize mambo
Utajipotezea muda.