Sasa naanza kuonja matunda ya ufugaji samaki

Sasa naanza kuonja matunda ya ufugaji samaki

Shamba langu liko njia panda ya itende jijini Mbeya. Kwa sasa nafuga samaki aina ya sato na kambale. Mradi wangu umeanza miezi sita iliyopita.

Nimeanza kuuza samaki wa kubwa lakini pianauza vifaranga vya samaki.
Bei kwa vifaranga ni tshs 500 kwa sato na tshs 700 kwa kambale.
Kwa mnaohitaji kupata huduma mnaweza kunipigia au kufika shambani

Karibuni
0624088590
safi sana
 
Bwawa la ukubwa wa 12*12m linaweza fuga samaki wangapi ..!?
Cc mkuu wa fish
 
Hongera Mkuu mm nina eneo la futi nne kwa futi 30 je naweza kufuga samaki kwa ukubwa huo na wanaweza kuingia samaki wangapi sato
 
Back
Top Bottom