Sasa naanza kuonja matunda ya ufugaji samaki

Sasa naanza kuonja matunda ya ufugaji samaki

Shamba langu liko njia panda ya itende jijini Mbeya. Kwa sasa nafuga samaki aina ya sato na kambale. Mradi wangu umeanza miezi sita iliyopita.

Nimeanza kuuza samaki wa kubwa lakini pianauza vifaranga vya samaki.
Bei kwa vifaranga ni tshs 500 kwa sato na tshs 700 kwa kambale.
Kwa mnaohitaji kupata huduma mnaweza kunipigia au kufika shambani

Karibuni
0624088590
Yaani kambale ni ghali kuliko sato? Mbeya buana
 
Mkuu, nitakuja Itende wakimaliza kujenga hiyo lami hapo kilimani. Maana si kwa foleni niliyoikuta maeneo hayo... Hiyo lami ya Ndembela, sijui Simike, am not sure inakwisha lini ujenzi wake?
 
Mkuu mbona vifaranga vyako ni bei kubwa sana tena mno mana wizaran wanajamaa zao kule bunju bei poah nilipata bahat ya kupata darasa wizarani personal na mkurugenzi na jkt wao nao wako cheap tsh 300 mpk 120 nataka nijue tofauti yako ni nn na ni mchanganyiko au bei moja mana nasikia kuna waliohasiwa na matume tupu na majike tupu kuna utofauti
 
Shamba langu liko njia panda ya itende jijini Mbeya. Kwa sasa nafuga samaki aina ya sato na kambale. Mradi wangu umeanza miezi sita iliyopita.

Nimeanza kuuza samaki wa kubwa lakini pianauza vifaranga vya samaki.
Bei kwa vifaranga ni tshs 500 kwa sato na tshs 700 kwa kambale.
Kwa mnaohitaji kupata huduma mnaweza kunipigia au kufika shambani

Karibuni
0624088590
Mkuu ntakutafuta mi nipo hapa kiwira
 
Back
Top Bottom