Green fish farm
Member
- Oct 10, 2017
- 30
- 31
- Thread starter
- #61
Labda wao wana ruzuku.Mkuu mbona vifaranga vyako ni bei kubwa sana tena mno mana wizaran wanajamaa zao kule bunju bei poah nilipata bahat ya kupata darasa wizarani personal na mkurugenzi na jkt wao nao wako cheap tsh 300 mpk 120 nataka nijue tofauti yako ni nn na ni mchanganyiko au bei moja mana nasikia kuna waliohasiwa na matume tupu na majike tupu kuna utofauti
Hawa wanazaliana