Sasa hizi 29, 30, 31 za kalenda lengo lake nini au zinakuwa zinauzungumzia mwezi gani?

nkumbison

JF-Expert Member
Sep 22, 2013
2,219
2,971
Kuna kitu sijakipatia majibu kuhusiana na hivyo vitu hapao juu nilivyoviandika.

SIKU, hii ni mjumuisho wa masaa 24 kamili.
Wiki, ni mjumuisho wa siku saba kamili,
Mwezi, ni mjumuisho wa wiki NNe kamili
Kalenda ina mjumuisho wa vitu vyote hapo juu lakini mbona inadanganya.

Wenda nilifeli kufaulu Jiografia, siku ya 29, 30 na 31 zinatokaga wapi katika kalenda ikiwa mwezi mmoja ni sawa na week 4 ambazo ni sawa na siku 28.

Tukija kwenye Mwezi kama Mwezi umulikao dunia, tunaambowa huwa unaizunguka dunia siku 28 tuu ktk mwezi mmoja, je si sababu ya kuwa na hesabu hizi za siku na week?.

Njoo kwa wanasayansi nduguzetu wenzetu waendao mwezini bola chombo, mzunguko wao kikawaida siku 28 ktk mwezi.

Sasa hizi 29, 30, 31 za kalenda lengo lake nini au zinakuwa zinauzungumzia mwezi gani?

Mwanafunzi huru....... nipo dawati la mbele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani lengo ilikua ni kupata zile siku 364¼ za dunia kuuzunguka mhimili wake, ndio maana hiyo robo hua tunafidia pale kwenye mwezi wa pili unakua na siku 29 mara moja kila baada ya miaka minne.
Mfano mwaka kesho mwezi wa pili utakua na siku 29.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Callenda ya kirumi hiyo, kimsingi hizo siku hazipo maana mwezi una wiki NNE wiki INA siku saba #28 ila kwa makusudi kabisa zimewekwa kwa sababu na maslahi flani maana hata mwaka unakuwa na siku nyingi bila watu kufahamu. Hata Bible inaelezea kabisa habari za Siku ,wiki, na mwezi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo maslahi ni yapi Mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani lengo ilikua ni kupata zile siku 364¼ za dunia kuuzunguka mhimili wake, ndio maana hiyo robo hua tunafidia pale kwenye mwezi wa pili unakua na siku 29 mara moja kila baada ya miaka minne.
Mfano mwaka kesho mwezi wa pili utakua na siku 29.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ukihesabu week nne kama mwezi utapata siku 28 tuu kwahiyo hata hyo 29 ya mwezi wa pili inatpkea wapi. Na tukitumia siku 28 ktk mwezi tutakwama wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kalenda ya kweli ni kalenda ya kufuata MWEZI nasiyo kufata hizi zilizobuniwa..Mwezi kwa kawaida unasiku 28 ukizidi 29 na ukizidi sana na hapo ndio mwisho nisiku 30! Hivyo basi kwa kufata kalenda ya muandamo wa mwezi hauwezi kukuta baadhi ya miezi inasiku mpaka 31!
 
Why Don’t All Months Have the Same Number of Days?

Kuna kitu sijakipatia majibu kuhusiana na hivyo vitu hapao juu nilivyoviandika.

SIKU, hii ni mjumuisho wa masaa 24 kamili.
Wiki, ni mjumuisho wa siku saba kamili,
Mwezi, ni mjumuisho wa wiki NNe kamili
Kalenda ina mjumuisho wa vitu vyote hapo juu lakini mbona inadanganya.

Wenda nilifeli kufaulu Jiografia, siku ya 29, 30 na 31 zinatokaga wapi katika kalenda ikiwa mwezi mmoja ni sawa na week 4 ambazo ni sawa na siku 28.

Tukija kwenye Mwezi kama Mwezi umulikao dunia, tunaambowa huwa unaizunguka dunia siku 28 tuu ktk mwezi mmoja, je si sababu ya kuwa na hesabu hizi za siku na week?.

Njoo kwa wanasayansi nduguzetu wenzetu waendao mwezini bola chombo, mzunguko wao kikawaida siku 28 ktk mwezi.

Sasa hizi 29, 30, 31 za kalenda lengo lake nini au zinakuwa zinauzungumzia mwezi gani?

Mwanafunzi huru....... nipo dawati la mbele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom