GENTAMYCINE JF-Expert Member Jul 13, 2013 56,548 108,881 Sep 12, 2015 #1 Fahmi Dovutwa au mzee Hashim Rungwe. Mmoja wapo hapo ndiyo atachaguliwa kwa kura nyingi na Watanzania hapo October 25, 2015. Nina uhakika nao kwa 0%.
Fahmi Dovutwa au mzee Hashim Rungwe. Mmoja wapo hapo ndiyo atachaguliwa kwa kura nyingi na Watanzania hapo October 25, 2015. Nina uhakika nao kwa 0%.
Leonard Robert JF-Expert Member Apr 22, 2011 11,064 7,196 Sep 12, 2015 #2 Nyie ccm si mnaipenda ACT sasa unaanzaje kuwasiafia akima Hashim Rungwe
K kipumbwi JF-Expert Member Feb 3, 2015 3,054 8,663 Sep 12, 2015 #4 Moderator watu kama huyu mleta mada na wenzie wa Lumumba wanashusha credebility ya jf,cha ajabu mnawafuga!!! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Moderator watu kama huyu mleta mada na wenzie wa Lumumba wanashusha credebility ya jf,cha ajabu mnawafuga!!!
Kitumbo JF-Expert Member Jun 16, 2010 549 185 Sep 12, 2015 #5 Ujumbe wa mada hii ni kwamba mtoa mada amechoka na CCM lakini haoni mgombea wa kumchagua nje ya CCM, tafakari, fanya maamzi tarehe 25/10/15
Ujumbe wa mada hii ni kwamba mtoa mada amechoka na CCM lakini haoni mgombea wa kumchagua nje ya CCM, tafakari, fanya maamzi tarehe 25/10/15