Sanamu ya Nelson Mandela yazinduliwa leo Africa Kusini

Aug 29, 2013
21
4
Sanamu ya nelson mandela yazinduliwa leo Afrika kusini na ni sanamu kubwa kuliko sanamu zote duniani imeundwa kwa shaba tu ina urefu wa mita tisa na uzito wa tani nne na ukiitazama picha hiyo utakuta mikono yake iko wazi ikiwa na maana ya kazi ile kubwa iliyofanywa na mpigananyi huyo ya kuwaunganisha watu wa taifa lile..
Pia sanamu hiyo imewekwa/imesimikwa karibu na jengo la bunge na imefanyiwa uzinduzi leo na kushuhudiwa na mamamia ya watu wa Africa kusin
 
Sanamu ya nelson mandela yazinduliwa leo Afrika kusini na ni sanamu kubwa kuliko sanamu zote duniani imeundwa kwa shaba tu ina urefu wa mita tisa na uzito wa tani nne na ukiitazama picha hiyo utakuta mikono yake iko wazi ikiwa na maana ya kazi ile kubwa iliyofanywa na mpigananyi huyo ya kuwaunganisha watu wa taifa lile..
Pia sanamu hiyo imewekwa/imesimikwa karibu na jengo la bunge na imefanyiwa uzinduzi leo na kushuhudiwa na mamamia ya watu wa Africa kusin
photo is comming soon
 
Haswaaaaa!!!
131216132627_mandela_statue_304x171_reuters_nocredit.jpg
 
Gharama yake! Wangeongea na Jk awachotee Tanzanite ingefaa sana mana huku kwe2 hatuoni faida yake!
 
Kikubwa walichojali ni ujumbe wa sanamu na sio kuwa zuri kama wengi wetu tunvyotaka,pongeze kwao
 
Back
Top Bottom