Sanaa ya kifo

imefika usiku anauliza saa wakawa wanamdamganya kuwa inakaribia alfajiri akasema sio kweli Mimi siwezi fika huko mbali Sana
Duh huyu aliuona mwisho wake live
Ndio, mida anauliza ilikuwa saa sita kasoro wao wakawa wanamwambia ni saa kumi na moja kasoro ndo akawa anasema sio kweli,Mimi siwezi fika huko mbali Sana na around saa Tisa kasoro akafariki
 
Ndio, mida anauliza ilikuwa saa sita kasoro wao wakawa wanamwambia ni saa kumi na moja kasoro ndo akawa anasema sio kweli,Mimi siwezi fika huko mbali Sana na around saa Tisa kasoro akafariki
Alikuwa keshauona mwisho wake
 
Hayo maneno ni mazuri kwa ajili ya kujifariji mkuu. Kwamba tunampunzisha kuliko kusema maneno mengine yatakayoongeza machungu.

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
Kwenye Bible ukisoma na kutafsiri mstari mmoja tuu utapotoka...ukisoma hii mada kwa utulivu utagundua kuwa kuna vifo vya aina nyingi...
pia ukisoma habari za samweli alipokufa , mfalme sauli alipokua na vita , alienda kwa mganga akaomba apandishiwe samweli nabii aliekufa , akamtabiria!
 
mbona hauna tofauti na alichoeleza mashana au ulitaka uanzishe huu uzi wewe?
 
mshana naomba kuuliza ? ile state mtu anapofanya meditation anakuwa ametoka njee ya mwili ( astral body projection) inaweza lingana na state ya umauti?
Kuna dhana mbili hapo
1. Uko kwenye nyumba halafu unahama chumba
2. Uko kwenye nyumba halafu unahama nyumba
Je umenipata?
 
memento mori'— 'kumbuka kwamba lazima ufe'—
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…